“Pata Mafanikio Kupitia Mwongozo wa “Nguvu ya Kuchukua Hatua ya Kwanza” kwa Kuweka na Kufikia Malengo Yako”


Kitabu hiki kinakupa zana za kukabiliana na changamoto zinazoweza kukuondoa njia yako ya kufikia malengo yako kwa ujasiri na kujiamini. Utajifunza jinsi ya kutambua vizuizi vya kibinafsi na kuvuka changamoto hizo, na pia jinsi ya kuchukua hatua ya kwanza na kufuata mipango yako ya kibinafsi kuelekea mafanikio.

Nguvu ya Kuchukua Hatua ya Kwanza inakupa mbinu zinazohitajika kujenga utamaduni wa kuchukua hatua na kufikia mafanikio ya kibinafsi.

Kitabu hiki ni chakula cha akili kwa mtu yeyote anayetaka kufikia malengo yao kwa njia bora zaidi. Hivyo, ninakuhimiza kujisomea kitabu hiki ili kujifunza jinsi ya kuondokana na woga na wasiwasi, kujenga ujasiri na kujiamini, kuweka malengo na kuyafikia kwa mafanikio, na kufikia maisha bora unayotaka.

Au unaweza kutuma 10,000 kwa namba ya simu 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

Kwa sasa hiki kitabu bado kinapatikana katika mfumo wa nakala laini, yaani, softcopy/ebook. Kipate, utanishukuru baada ya kukisoma.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X