Vitabu Viwili Unavyopaswa Kuhakikisha umesoma mwezi huu wa tisa


Habari ya leo rafiki yangu, siku ya leo ningependa kwa ufupi nikwambie vitabu vitano ambavyo unapaswa kusoma ndani ya mwezi huu wa tisa.

Bila kupoteza muda, vitabu vyenyewe ni

1. The school of money

Hiki ni moja ya kitabu muimu sana ambacho unapaswa kusoma hasa kuhusiana na suala zima la fedha. Kitabu hiki ndani yake kimeeleza mbinu na kanuni za kukusaidia wewe kuweza kupiga hatua na kusongambele kwenye suala zima la fedha. Kama kuna kitabu kimoja cha fedha utapaswa kusoma ndani ya mwezi huu wa tisa, basi soma kitabu hiki cha The school of money. Kama utahitaji kupata softcopy ya hiki kitabu, basi unaweza kunitumia ujumbe kwa namba ya 0755848391 ili nikueleze namna ya kuipata.

2 NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA

Najua kuwa una malengo na ndoto kubwa za kufanyia kazi na hata kufikia mwaka huu, ila unajua nini. Malengo yako haya, unahitaji kuyafanyia kazi hata kwa udogo. Hii ndio dhana nzima ya kitabu cha nguvu ya vitu vidogo kuelekea mafanikio makubwa. kwenye hiki kitabu unaenda kujifunza mbinu na kanuni za kukusaidia wewe kuweza kufanyia kazi na kufikia lengo au ndoto yoyote ile kwa kuanza kidogo. Hatua ndogondogo mwisho wa siku zinaleta matokeo makubwa.

Kitabu hiki kinapatikana kwa mfumo wahardcopy na audiobook

Gharama ya hardcopy (nakala ngumu) ni 20,000/- unatumiwa kitabu hiki popote pale ulipo duniani.

Gharama ya audiobook ni 10,000/- tu. na hii utaipata bila kujali upo wapi hapa duniani, ndani ya dakika chache tu baada ya kulipia.

kitabu cha NGUVU YA VITU VIDOGO

Hivi ni vitabu viwili ambavyo unapaswa kusoma ndani ya mwezi hu wa nane rafiki yangu.

Ubora ni kuwa kitabu kimojawapo kimesomwa kwa sauti na unaweza kukisikiliza kwa sauti, hivyo unakuwa huna shida ya kukaa chini na kuanza kukisoma moja kwa moja. Hiki kitu kinakufanya uweze kwa hakika kusoma vitabu viwili kwa mwezi huu na kuvimaliza. Kama utapata vitabu hivi viwili, kimoja unaweza kukisiliza kwa njia ya sauti, huku kingine ukiwa unakisoma kwa njia ya kawaida. Hiki kitu kitakusaidia sana kuweza kupata maarifa sehemu mbili na kunufaika kwa ukubwa sana.

Rafiki yangu, soma vitabu hivi viwili, nina hakika utanishukuru sana kwa miezi ijayo na miaka inayofuata.

Sina cha kukusaidia zaidi ya kusema wasiliana na mimi sasa ili uweze kupata hivi vitabu vyote viwili kwa wakati mmoja.

Mimi hapa sina la ziada

Akhsante


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X