Tegemea hiki endapo utasoma kitabu Cha Godius Rweyongeza


Ni kitabu kipi Cha Godius Rweyongeza umewahi kusoma?  Kama hujawahi kusoma kitabu chake chochote Basi huu unaweza kuwa Ni wakati wako muafaka wa kuhakikisha kuwa unasoma kitabu chake hata kimoja.

Kitu kikubwa unachopaswa kutegemea kutoka kwenye vitabu vyake ni kuwa  kitabu chake chochote utakachosoma utapata  thamani zaidi ya vile ulivyolipia.

Ukinunua kitabu Cha elfu tano, Basi ujue ulipaswa kulipia elfu kumi au zaidi. Kitabu unachostahili kulipia elfu hamsini unakipata kwa elfu ishirini au chini ya hapo.

Unaweza kudhani nakudanganya. Ebu msikilize huyu hapa

Au huyu

Bado huamini tu, ebu muone na huyu

Zaidi zaidi, pata nakala ya kitabu na wewe uvune makubwa yaliyo vitabuni mwake.

Ni kitabu kipi ungependa kusoma Kati ya Hivi

1. KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI
2. JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO
3. NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA
4. MAISHA NI FURSA: ZITUMIE ZIKUBEBE
5. JINSI YA KUWEKA AKIBA
6. JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU
7. MAAJABU YA KUWEKEZA KWENYE HISA, HATIFUNGANI NA VIPANDE
8. KIPAJI NI DHAHABU: Jinsi Ya Kugundua, Kunoa Na Kuendeleza Kipaji Chako

9. JINSI YA KUIBUA UBUNIFU ULIO NDANI YAKO



Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X