Changamoto Ni Fursa


Badala kuomba kuishi maisha ambayo hayana changamoto wala matatizo, omba uwezo wa kutatua changamoto unazokutana nazo.

Changamoto ni fursa
Changamoto ni biashara.
Changamoto ni njia kufika mbali.
Watu WALIOFANIKIWA siyo kwamba hawakuwa na matatizo wala changamoto.

Bali walitumia changamoto na matatizo waliyonayo Kama fursa kwa ajili ya kusongambele zaidi. Mara zote jiulize Ni kwa namna gani naweza kunufaika na changamoto zilizopo sasa Hivi…?

Angalia ni kwa namna gani unaweza kutumia changamoto kama fursa na ukasonga mbele. Je, changamoto au matatizo gani ambayo umekumbana nayo?

Je, unaona fursa yoyote Ndani yake?


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X