Baadaye Siku Ya Leo Nitasikika Kwenye Temino Ya Clouds Fm


Hello upande wa huko

Nimeshaamka mapema siku ya leo kama ilivyo kawaida yangu. Na kama kawaida hapa nipo nyuma ya PC yangu nikiwa naandika kitu.

Leo sina kitu kikubwa sana cha kukwambia labda taarifa fupi tu kuwa

Baadaye siku ya leo Nitakuwa kwenye Temino ya Clouds Fm, kipindi kinachoendeshwa na Harris Kapiga, tukipiga stori kuanzia saa tisa mpaka saa 11.

Nakala ngumu ya kitabu cha Kutoka Sifuri Mpaka Kileleni ni 20,000/- tu. na ninaweza kukutumia popote pale ulipo Afrika Mashariki.

Nakala laini ya kitabu cha kutoka Kutoka Sifuri Mpaka Kileleni ni 10,000/- tu.

Lipia leo hii nakala yako kwa

Ni mimi rafiki yako,

Godius Rweyongeza

075584831

Morogoro-Tz


One response to “Baadaye Siku Ya Leo Nitasikika Kwenye Temino Ya Clouds Fm”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X