KUZA KIPAJI CHAKO


Kipaji ni mauwezo fulani hivi ya asili ambayo mtu unazaliwa nayo na yanakuwezesha kufanya vitu kwa namna ya upekee sana.

Mauwezo haya yanakutambulisha kwa watu kwa sababu hakuna mwingine ambaye anakuwa nayo. Na wala ya kwako hayawezi kulinganishwa na ya mtu mwingine. 

Sasa nikuulize wewe, kipaji chako unakifahamu?

Ni kipi? Na je unakifanyia kazi?

Hakikisha unakitumia vizuri kipaji chako maana, siku ya mwisho utaulizwa namna ulivyokitumia kipaji chako😀😀.

Kujua namna nzuri ya kugundua na kutumia kipaji chako hakikisha umesoma kitabu cha KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI. Sura ya KUMI imeeleza kwa kina jinsi ya Kugundua kipaji chako, kukinoa na kukitumia kwa manufaa. Fungua ukurasa wa 52 kwenye kitabu ujionee mwenyewe.

Kama huna kitabu hiki, rusha elfu 10 leo ili uweze kukipata. Nitakutumia na vitabu vingine vitatu ambavyo ni

1. MAISHA NI FURSA: ZITUMIE ZIKUBEBE

2. MAAJABU YA KUWEKEZA KWENYE HISA, HATIFUNGANI NA VIPANDE

3. SEKTA 11 ZA KUTENGENEZA MAMILIONI YA FEDHA TANZANIA

Rusha sasa hivi kwa 0684 408 755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X