Mitandao Mitano Ambayo Vijana wa Kitanzania Wanapenda Kutembelea Sana


 

Siku ya leo nimeona nikuibie hili. Mtandao wa Alexa huwa una utaatibu wa kupangilia mitandao yote kutokana na wingi wa watembeleaji kutoka kwenye kila nchi.
Kwa kutumia mtandao huu unaweza kujua nchi ipi, watu wake wanapendelea kutembelea mtando  upi.

Na leo tunaenda kuona mitandao ambayo Watanzania wanapenda kutembelea sana. Hii ni muhimu kwako kuifahamu kwa sababu inaweza kukusaidia kufanya mengi.
Moja; inaweza kukusaidia kujua wapi watu wanatumia muda wao kwa wingi, na hivyo kuweza kutumia jukwaa hilo vizuri. Pia, inasaidia kama unataka kufanya Ia matangazo, kujua wapi watu walipo ili utangazie huko.

Kitu kimoja cha uhakika ni kuwa mitandao ambayo Watanzania wanapenda kutembelea itakushangaza. Ni tofauti na vile ambavyo wewe mwenyewe ulikuwa unategemea. Najua  wengi wanaweza kudhani labda WhatsApp ndio mtandao nambari moja unaopendwa kutembelewa. Ukweli ni kuwa  WhatsApp siyo mtandao nambari moja au mbili. Ifuatavyo sasa ni mitandao mitano ambayo vijana wa kitanzania wanapenda kutembelea:

1. Google
2. YouTube
3. Facebook
4. Yahoo
5. Wikipedia

Mitandao miwili ya ziada ambayo Watanzania wanapenda kutembelea ni
6. Jamii Forums na
7. Instagram

Hiyo ndiyo mitandao inayotembelewa sana hapa Tanzania. Ni muhimu sana kwako kuifahamu kwa sababu Kuna fursa ndani yake. Unaweza kujua muda mwingine ukitaka kufanya kampeni fulani, utumie mtandao gani kufanikisha hiyo kampeni.

Kwa sababu watu wake wako huku.

Nimeandika kitabu kinachoitwa MAISHA NI FURSA;  ZITUMIE ZIKUBEBE. Kitabu hiki ninaenda kukizindua rasmi tarehe 1.10.2021.

Ila habari njema ni kuwa leo hii unaweza kuweka oda ya kupata kitabu hiki. Na kwa atayaweka oda; 

Kwanza atapata kitabu kwa bei ya punguzo. 

Pili, nitampa vitabu vingine vya ziada kama zawadi; tena hivyo vitabu vingine vya zawadi nitavituma leo hii baada ya mtu huyo kuweka oda.

Kuweka oda utalipia, elfu kumi tu (10,000/-) tu. Ila kwa kuwa utalipia elfu kumi leo hii, utpewa  vitabu vingine vitatu wakati ukiendelea kukisubiri kitabu cha maisha ni fursa, ZITUMIE ZIKUBEBE.

Vitabu utatavyopewa kwa sasa ni 

1. KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI

2. SEKTA 11 ZA KUTENGENEZA MAMILIONI YA FEDHA TANZANIA

3. MAAJABU YA KUWEKA AKIBA.

Rusha elfu kumi leo kwa namba 0755848391. Upate vitabu hivyo vitatu, na kitabu cha MAISHA NI FURSA, ZITUMIE ZIKUBEBE kitatumwa kwako tarehe 1.10.2021 bila wewe kuhitajika kuongeza senti ya ziada.

Namba ya malipo ni 

MPESA 0755848391

Airtel money: 0684 408 755

 Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

NAKUKUMBUSHA TU: Ukituma elfu kumi leo. Taarifa zako zitatunzwa vizuri, na tarehe 1.10.2021 utatumiwa kitabu cha MAISHA NI FURSA; ZITUMIE ZIKUBEBE bila kuongeza senti ya ziada, wala bila kutukumbusha tukutumie.

.

Vitabu vyote ni soft copy.

Ni mimi

GODIUS RWEYONGEZA

0755848391

MOROGORO-TZ


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X