Kitu Kimoja Cha Kishujaa Unachoweza Kufaya Kwa Dakika Moja Kikawa Na Manufaa Maisha Yako Yote


Rafiki yangu, hongera sana kwa nafasi hii nyingine ya kipekee sana. Bila shaka siku ya leo ni siku yako ya kipekee sana.
Ujue shujaa ni mtu ambaye anaheshimika sana kwenye jamii zetu. Lakini siku hizi jinsi ushujaa unavyopatikana ni tofauti kabisa na zamani. Wakati zamani ulihitajika tu uende vitani upigane na kulifanya taifa lako au eneo  lipate ushindi. Sasa hivi ushujaa hauna haja ya kuwa na hivyo.
Tupo kwenye zama ambapo mtu mwenye maarifa sahihi ndiye anakuwa shujaa. Ukitaka kunielewa hapa tuseme kwamba kuna tetemeko linaenda kutokea sehemu. Na wewe una taarifa sahihi ila mwenzako hana taarifa za tetemeko. Kwa sababu una taarifa za tetemeko unaamua kuhairisha safari yako ya kwenda eneo hilo  mpaka wakati mwingine. Ila rafiki yako kwa sababu hana taarifa sahihi basi yeye anaenda kichwa kichwa.  Likitokea tetemeko basi kitakachomtapa hapa hatutaki kujua. Lakini wewe utakuwa tayari umekuwa shujaa kwa sababu uliweza kuzuia baya lolote kutokea kwako kwa sababu ulikuwa na taarifa sahihi.
Sijui unanielewa hapo. Kwa hiyo shujaa wa karne ya 21 sio yule anayepigana vita na kurudi kidedea. Shujaa wa karne ya 21 ni mtu mwenye maarifa na taarifa sahihi kwa wakati.
Moja ya watu ambao wamejitoa kuhakikisha kwamba unapata taarifa na maarifa sahihi wa kwa wakati kwenye karne hii basi ni mimi hapa rafiki yako GODIUS RWEYONGEZA.  Nimekuwa natoa maarifa haya kupitia mtandao huu wa songambele na nitaendelea kufanya hivyo kila siku.
Lakini pia nitaendelea kuto maarifa zaidi kupitia channel yetu ya YOUTUBE ambayo unaweza kuitembelea kwa kubonyeza HAPA
Wakati naendelea kutoa maarifa haya kuna kikundi cha watu wachache ambacho huwa kinapata maarifa zaidi kutoka kwangu kwa njia ya barua pepe. Kikundi hiki cha watu wachache sana binafsi nakipenda sana maana kinapata manufaa mengi zaidi. Leo hii nimeona nikushirikishe kitu hiki ili na wewe uweze kujiunga na kikundi hiki cha watu wachache kwa kujaza taarifa zako HAPA ili na wewe uwe miongoni mwa watakaopata maarifa haya kipekee bure kabisa.
Kwa kufanya hivyo tu, utaweza kupata maarifa zaidi na mazuri zaidi kutoka kwangu kila mara.
Rafiki fanya kitu hiki cha kipekee sana  leo ili uweze kupata maarifa ya kishujaa ambayo watu wengine hawapati kutoka kwangu. Na ubora ni kwamba hakichukui muda. Ni kitu cha dakika moja tu umemaliza.
Bonyeza hapa kufanya hivyo sasa hivi rafiki yangu.
Basi kwa leo napenda nikutakie kila la kheri.
Ni mimi anayejali mafanikio yako
GODIUS RWEYONGEZA

KUWA MIONGONI MWA WATU AMBAO WANAPOKEA MAKALA MAALUMU KWA WATU MAALUMU KWA KUBONYEZA HAPA

SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU YA YOUTUBE HAPA


JIUNGE NAMI KWENYE NURU ANGAZA

, ,

One response to “Kitu Kimoja Cha Kishujaa Unachoweza Kufaya Kwa Dakika Moja Kikawa Na Manufaa Maisha Yako Yote”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X