ACHANA NA TABIA HIYO


Kuna tabia hiyo ambayo unifanya japo haikupeleki kwenye mafanikio, achana nayo.

Anza kushugulika tabia ambazo zinakufanya wewe uweze kusongambele kwenye mafanikio makubwa.

Kama unataka kufanikiwa na bado kuna tabia ambazo zinakuvuta ila hutaki kuziacha, utajiangusha.

Yaani hapo ni sawa na wewe umekuwa baba/mama ila hutaki kuachaa na utoto. Hivyo ukitaka kufanikiwa achana na tabia zinazokukwamisha (utoto) ili ukumbatie tabia za mafanikio.

Mafanikio ni haki yako ya kuzaliwa kama utakumbatia tabia za kimafanikio.

Ni mimi anayejali mafanikio yako
Godius Rweyongeza


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X