Nianzie Wapi?


Habari za rafiki yangu na msomaji wa blogu yako ya songa mbele karibu sana katika makala leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya kwenye maisha yetu.

Mara nyingi huwa tunajiuliza tuanzie wapi, tufanye nini?
Tunaangalia fursa hatuzioni.
Kwa leo ningependa kujibu swali hili la nitaanzia wapi na kutoa jibu na mbinu ambazo zitakusaidia kupata wazo la biashara au njia ambayo utaitumia kufikia mafanikio.

1. Tafuta kalamu na karatasi, tafuta sehemu ambayo imetulia ambapo hatutasumbuliwa.

2. Jiulize Je, nina hali gani sasa?
Andika chini kila wazo ambalo linakuja akili mwako sasa. Majibu yako yasiwe marefu na magumu.
Unaweza kusema sifurahii kazi yangu! Nahitaji kujitegemea.

3. Je, nina ujuzi gani? Je, rasilimali gani ambazo ninazo na zipo kwenye mazingira yangu? Jibu maswali hayo vizuri.

4. Je, nautumiaje muda Wangu vizuri?
Andika vile ambavyo unavyotumia ndani ya siku husika ikiwemo muda wa kula, kulala, na mapumuziko n.k.

5.Je, ni huduma gani naweza kutoa kwa jamii yangu?

6. Je, msaada gani naweza kupata kutoka kwa wazazi Wangu au familia?

7. Andika hapa kitu ambacho utakifanya.

andika sentensi yako kwa mfumo huu

KUFIKIA…….. MIMI……..(jina)NAAMUA KUFANYA YAFUATAYO…………..KWA KUTUMIA RASLIMALI ZIFUTAZO………

Hiyo ndiyo sehemu muhimu sana ambavyo unaweza kuanzia kwa sasa.
Ni sehemu ambavyo inaweza kukutoa moja mpaka kileleni?

Endelea kusoma makala za kuelimisha na. Kuhamasisha  kutoka kwenye blogu hii

Ili upate makala maalumu kutoka songambele blogu BONYEZA HAPA ILI KUJIUNGA
Ni mimi rafiki na ndugu yako
Godius Rweyongeza
Tuwasiliane
godiusrweyongeza1@gmail.com
0755848391
Asante

Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu.

Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea.

Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X