Tag: JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO

  • Changamoto Ni Fursa

    Badala kuomba kuishi maisha ambayo hayana changamoto wala matatizo, omba uwezo wa kutatua changamoto unazokutana nazo. Changamoto ni fursaChangamoto ni biashara.Changamoto ni njia kufika mbali.Watu WALIOFANIKIWA siyo kwamba hawakuwa na matatizo wala changamoto. Bali walitumia changamoto na matatizo waliyonayo Kama fursa kwa ajili ya kusongambele zaidi. Mara zote jiulize Ni kwa namna gani naweza kunufaika…

  • Mwongozo Unapouhitaji Kufikia Ndoto Zako

    Jana nilikuwa naongea na rafiki yangu ambaye amechukua vitabu vya JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO pamoja na NGUVU YA VITU VODOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA Inaonekana rafiki yangu kaelewa vizuri sana dhana ya hivi kitabu. Anasema hivi, Unahitaji kuwa na ndoto KUBWA. Ila haitoshi. Ili uifanikishe hapo ndipo utapaswa kutumia nguvu ya vitu VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO…

X