Deprecated: Constant FILTER_SANITIZE_STRING is deprecated in /home/songambele/public_html/wp-content/plugins/blogger-to-wordpress-redirection old/b2w-redirection.php on line 91
Vitabu ambavyo kama mwanachuo unapaswa kujisomea. - SONGA MBELE

Vitabu ambavyo kama mwanachuo unapaswa kujisomea.


Hongera sana kwa kupenda kukisoma. Hii tabia nzuri ya kujisomea unapoianza ukiwa mwaka wa kwanza chuoni, itakupeleka mbali. Mpaka kuja kumaliza chuo, utakuwa mtu wa tofauti.
Mtu wa tofauti kwenye tabia
Mtu wa tofauti kwenye hatua unazochukua
Mtu wa tofauti kwenye mtazamo na fikra.

Hivyo, nikushihi sana usiache kujisomea vitabu hivi kipindi chote uwapo chuoni. Tenga muda wa kujisomea hata kama ni kidogo.
Kisha soma.

Vifuatavyo ni vitabu ambavyo kama mwanachuo unapaswa kuanza kujisomea.

1. JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO.
Hiki kitabu kitakupa mwongozo wa kuwa ndoto kubwa. Kitakufanya uanze kufikiri nje ya boksi. Wakati wenzako wanafikiri wamalize chuo, wapate kazi, wanakaoe na kuolewa. Wewe utakuwa na UNAFIKIRI zaidi ya hapo.

Utakuwa ndoto kubwa ambazo zimekujaa na utakuwa tayari kuzifanyia kazi bila ya kurudi nyuma. Gharama ya kitabu hiki ni 25,000/- TU. Nakala ngumu. Lipia kwa TIGO PESA: 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA ili ukipate.

2. NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA

Hiki kitabu kitakuonesha kuwa ukiwa na ndoto kubwa unapaswa pia kuzifanyia kazi hata kama ni kidogo kidogo. Zifanyie kazi ndoto zako hatua kwa hatua. Anza hata kama ni kidogo. Kitu kidogo unachofanya Leo hii, kitakupeleka mbali kesho. Ukikifanya kwa uhakika na kwa msimamo.

Kitabu hiki kimekuwa tiba kwa wengi, Nina uhakika kitakufaa na Wewe pia. Tena sana kwa maana ndiyo kwanza unaanza na tayari utakuwa na mwongozo sahihi wa kwenda nao ambao ni hiki kitabu cha NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA.

Kipate Sasa hivi. ni 25,000/- TU. Wasiliana na 0684408755

3. MAAJABU YA KUWEKA AKIBA pamoja na MAAJABU YA KUWEKEZA KWENYE HISA HATIFUNGANI NA VIPANDE

Hivi ni vitabu viwili ambavyo vitakupa msingi wa elimu ya fedha na hasa kwenye maeneo mawili muhimu sana. KUWEKA AKIBA na KUWEKEZA KWENYE HISA HATIFUNGANI NA VIPANDE.

Kama mwanachuo, Anza kujijengea utaratibu wa KUWEKA AKIBA. Anza kuwekeza kwenye HISA, HATIFUNGANI NA VIPANDE. Kiasi hichohicho kidogo unachopata, tafuta namna ya KUWEKA AKIBA pia. Sikiliza ukilifanyia kazi hili, utanishukuru MAISHA Yako yote.

Kuna watu utasoma nao mwaka wa kwanza Hadi mnamaliza wakiwa hawajui chochote kuhusu HISA, wataanza kazi wakiwa hawajui chochote kuhusu HISA HATIFUNGANI NA VIPANDE. Wachache watakuja kujua baadaye sana. Na wengine wanaoweza wasijue hiki kitu MAISHA Yao yote. Wewe kujua hivi VITU mara hii, ni hatua kubwa.

Unachotakiwa kufanya Sasa ni kuhakikisha umepata nakala za hivi vitabu Sasa hivi. Kila nakala ni Kila nakala ni 25,000

Pamoja na hivi pata hivyo vingine ambavyo nimetaja hapo juu.

*Hitimisho*
Kama utafanya tabia ya kusoma vitabu kweli kuwa sehemu ya MAISHA Yako ya Kila siku, itakufanya kuwa mbele ya wenzako hapo chuoni.

Nikutakie Kila la kheri.

Vitabu vyote nilivyotaja hapo juu, unaweza kuvipata kwa kuwasiliana na 0684408755

Karibu sana.

Godius Rweyongeza
0755848391
Morogoro-Tz


One response to “Vitabu ambavyo kama mwanachuo unapaswa kujisomea.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X