-
KONA YA SONGA MBELE: Nani Anakujua?
Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu msomaji wa makala zako pedwa ambazo hukujia kila siku ya jumapili. Karibu sana katika makala haya ya siku hii ya leo, ambapo tunaeanda kuangalia ni nani anakujua katika biashara yako? Mara nyingi mtu anapokuwa na wazo la biashara, ana kuwa tayari anaona kwamba wazo lake litamfanya…
-
Huu Ndio Uhuni Hatari Unaofanyika Duniani
Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu msomaji wa makala ya SONGA MBELE BLOG. Imani yangu kwamba leo ni siku njema sana kwako ambapo unaenda kuweka juhudi ili kuhakikisha unaongeza ufanisi katika kazi zako. Katika dunia hii kuna uhuni mkubwa sana ambao huwa unafanyika kila siku. Uhuni huu umekuwa ukifanywa na watu bila…
-
Kanuni Tatu Ambazo Unahitaji Kuzifahamu Ili Uweze Kufanya Makubwa Mishani Mwako
Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu msomaji wa makala ya SONGA MBELE. Imani yangu kwamba leo hii ni siku njema sana kwako ambapo unaenda kuweka juhudi kubwa sana kuhakikishakwamba unaweza kufikia mafanikio makubwa sana. Kanuni za mafanikio sio kwamba zimebadilika. Bado ziko vile vile kama ambavyo zimekuwa kwa miaka mingi sana ambayo…
-
Haya Ndio Maji Safi Ya Kumumwagia Mtu Siku Ya Kuzaliwa
Habari ya leo Rafiki yangu.Kwa siku sasa nimekuwa nashuhudia watu mbalimbali wakishiriki katika kushangilia siku za kuzaliwa.Watu wamekuwa na utaratibu wa kumumwagia maji mtu ambaye anasheherekea siku yake ya kuzaliwa kwake.Sijajua utaratibu huu umetokea wapi ila walau ninachojua ni kwamba watu wameupokea na wameukumbatia sana utaratibu huu.Utaratibu mpaka sasa umekuwa sehemu ya pili ya maisha…
-
Hatua Tatu Za Ubunifu
Ubunifu hupitia katika hatua mbalimbali mpaka kitu kinapokuja kuonekana.Sio tu suala la kulala na kuamka ukisema mimi ni mbunifu. Ukizipitia hatua hizi utakuwa mbunifu mzuri sana katika dujinia hii. 1. Hatua ya kwanza ni kutambua.Hii inaweza kuwa ni>>>kujitambua wewe mwenyewe.Wewe ni nani?Kitu gani ambacho unaweza kukibuni?Ujuzi gani ulio nao unaweza kukuogezea ubunifu ukawa bora zaidi!>>>kutambua…
-
Maswali Muhimu Ya Kujiuliza Kabla Kuingia Katika Uasiliamali
Ujasiliamali sio tu suala la lelemama kwamba unalala usiku na kuamka asubuhi ukisema mimi ni mjasiliamali. Ujasiliamali unapitia hatua. Ukiingia katika ujasiliamali kichwa kichwa unaweza kukata tamaa sana na pengine kuamua kuacha kabisa suala huku ukisema kwamba mimi siwezi kuwa mjasiliamali. Kuna watu wengi wameingia katika ujasiliamali wakitegemea kwamba uujasiliamali uwe wenye manufaa makubwa sana…
-
KONA YA SONGA MBELE; Jinsi Ya Kuongeza Ufanisi Kazini-3
Habari ya siku hii ya leo Rafiki na ndugu msomaji wa makala haya ya SONGA MBELE. Imani yangu siku ya leo imekaa vizuri sana, na unaendelea kujifunza zaidi na zaidi kuhakikisha kwamba unaongeza ufanisi kazini kwako. Makala za kila jumapili ambazo zinakuja katika kichwa cha kona songambele zimelenga jambo hilo. Leo hii tunaenda kuangalia SHERIA…
-
Hivi Ndivyo Watu Walio Wengi Wanavyopotea
Kila siku ni siku mpya kwetu sisi kwenda kuweka juhudi na kuhakikisha kwamba tunafanya makubwa. Kila siku ni nzuri na ni siku ambayo wewe unapaswa kuhakikisha unakuwa zaidi ya jana. Kama jana yako ilikuwa bora zaidi ya siku hii ya leo, basi jua kwamba kuna kitu hapa kati kati kati ambacho umepoteza. Au kuna kitu…
-
Fursa Tano (05) Ambazo Unaweza Kuzifanyia Kazi Katika Kilimo Cha Bustani Leo
Kilimo Cha bustani ni sekta ambayo inakua na kuongezeka wigo wake kila kukicha. Watu wengi sana kwa sasa wamekuwa wakijihusisha na kilimo hiki. Mazao yake sasa yamepata soko kubwa sio tu kwa ndani ya nchi yetu, lakini pia nje ya nchi yetu Kutokana na hizo fursa zinazozidi kujitokeza, na kutokana na ukweli kwamba watu bado…
-
Kwa Nini Wanafunzi Wanaopata “A” Wanawafanyia Kazi Wanafunzi Wanaopata ‘C’, Na kwa Nini Wanafunzi Wanaopata “B” Wanaifanyia Kazi Serikali
Kwa Nini Wanafunzi Wanaopata “A” Wanawafanyia Kazi Wanafunzi Wanaopata ‘C’, Na kwa Nini Wanafunzi Wanaopata “B” Wanaifanyia Kazi Serikali (Why A Student Work For C Students, And B students Work For Government). Ulikuwa mwezi wa tano mwaka huu 2017. Nikiwa katika viwanja vya freedom square katika chuo kikuu cha SUA. Hapo nilikiwa namsikiliza Joel Arthur…
-
Hii Ndio Kozi Inayofundishwa Katika Vyuo Vyote
katika zama za sasa hivi dunia imebahatika kuwa na vyuo vingi sana. vyuo hivi vinazidi kuja katika mifumo mbali mbali ukiwemo mfumo wa kwenda moja kwa moja vyuoni au mfumo wa kusoma kwa njia maarufu sana ya mtandao ambayo kwa sasa imeshamiri sana katika dunia hii.ukifuatilia vyuo vyote hapa duniani vina kitu kimoja ambacho kinaviunganisha…
-
Kitu Kimoja (01) Kitakachokuinua Leo Na Hii
Ni mara nyingi sana tumesikia juu ya sheria ya asili ya kichocheo na matokeo. Ni mara nyingi sana umeambiwa ukitaka kupata kile unachokitaka lazima utengeneze mazingira. Lakini mpaka sasa kila mtu amekuwa akilalamika huku akitoa hadithi zile zile za haya siyawezi bwana. Hivi viti sio vya viwango vyangu. Na mambo mengine kama hayo. Kwa sababu…
-
Umekufa Mwaka Gani?
Siku bila kusoma Kitabu ni sawa na siku bila kupumua. Sasa jiulize leo hii ikiwa ni novemba 2017 umepitisha siku ngapi bila kusoma kitabu?Je, mwaka huu umesoma vitabu mara ngapi? Hii ni kuonesha ni kwa kiasi gani watu umekuwa ukijididimiza na kujiangamiza kila siku. Sote tunajua umuhimu wa kupumua, sote tunajua kwamba dakika bila kupumua…
-
KONA YA SONGA MBELE; Jinsi Ya Kuongeza Ufanisi Kazini -2
Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu mfuatiliaji wa makala haya murua kutoka katika blogu yako pendwa ya SONGA MBELE. Kama ilivyo ada siku ya jumapili huwa tunapata Makala maalum ambayo huwa yana kichwa cha kona ya SONGA MBELE. Wiki iliyopita tulipata kuanza kuangalia mfululizo wa makala maalumu ambayo yanalenga kutufanya tuongeze ufanisi…
-
Je, Umesoma Nini Leo?
Habari ya siku hii ya leo Rafiki yangu, imani yangu leo umekuwa na siku njema sana, na unaendelea vizuri sana. Karibu sana tuendelee kujifunza. Maana hakuna kuhitimu katika kujifunza. Na hapa duniani hakuna aliyehitimu kozi ya kujifunza. Yaani kwamba kahitimu kukutana na watu wapya, kahitimu kuongea, kahitimu kula, kahitimu kufanya kazi kutaja ila machache. Kiufupi…
-
JE, MWANAMAHESABU WAKO NI NANI?
Tukiwa watoto wadogo, huwa tunaangalia wazazi wetu wanafanya nini! Huwa tunapenda kuangalia maisha ya watu wakubwa na kutaka kuiga. Hii inaweza kuwa kwa kufahamu au kwa kutofahamu. Lakini kujifunza kutoka kwa wazazi au wakubwa wetu ni jambo ambalo mtoto hawezi kulikwepa. Sasa kadri anavyoendeleaa kukua hali hii ya kuiga kila siku huwa inaendelea. Ndio maana…
-
Haya Ndio Mambo Mawili Yanayofanya Watu Wasiwe Na Maisha Bora
Linapokuja suala la kuwa na maisha bora sana watu wengi sana wamesema mambo mengi sana. Wapo wanaosema kwamba wameshindwa kuwa na maisha bora kwa sababu ya mazingira. Wapo wanaosema wameshindwa kuwa na maisha bora kwa sababu wazazi wao hawajawatengenezea mazingira. Wapo wanaosema wao wamezaliwa kuwa hivyo. Hata hivyo binafsi sijamwona mtu mwenye sababu za maana…
-
Hili Ni Kundi La Wasp Unalopaswa Kujiunga Nalo Leo Hii
Habari, kwa tumshukuru Mungu sayansi ya teknolojia inazidi kukua kila siku. Yaani inakua asubuhi, mchana na jioni. Kadri sayansi ya teknolojia inavyozidi kukua ndivyo watu wanavyokua na kuzidi kufanya makubwa zaidi. Kwa sasa dunia inazidi kuunganika zaidi na makundi mbali mbali ya watu wenye mtazamo sawa sawia yanaundwa kila kucha. Ndani ya wasap kuna makundi…
-
Jifunze Mawasiliano
Moja kati ya vitu unavyohitaji kuwa navyo hapa duniani ni mawasiliano. Unahitaji kujifunza jinsi ya kuwasiliana na watu na kuwasilisha kile kilicho katika akili yako. Kuna watu wengi ambao ukiwaangalia mwili wao huwa unaongea kitu kikubwa sana lakini kile wanachokiwasikikisha ni kidogo na pengine wanashindwa kuwasilisha kile kilicho akilini mwao. Kumbuka kwamba ni watu wachache…
-
Ifahamu Kanuni Ya Tatu Mara Dakika Kumi
Habari ya siku ya leo rafiki yangu. Leo hii ni siku bora sana ambapo tunaenda kujifunza kitu bora sana kuwahi kufundishwa hapa duniani.Na leo tutajifunza kanuni ya 3*10. Yaani kanuni ya Tatu mara dakika kumi. Soma Zaidi; Mambo Saba (07) Unayohutaji Kuyajua Ili Kuucheza Mchezo Wa Maisha Vizuri Kanuni hii ndio wanayoitumia watu wengi sana…