Home


  • Wasiliana na Godius Rweyongeza Sasa

    Habari yafuatayo ni mawasiliano Unayoweza kutumia kumpata GODIUS RWEYONGEZA

    Simu: +255 (0) 684408755

    Whatsap: +255 (0) 755848391

    Email: songambele.smb@gmail.com

     

    Kupata vitabu vyake wasiliana Moja kwa Moja na +255 (0) 684408755 (more…)

  • Kama una Simu Janja na huingizi Kipato, Unakosea hapa. Rekebisha Mara moja

    Siku Moja Robert Kiyosaki alisema kwamba kama una simu janja na Bado wewe ni maskini, basi fahamu wazi kuwa Kuna sehemu unakosea.

    Ukitafakari maneno ya Robert Kiyosaki unagudua Kuna ukweli mkubwa sana hasa katika ulimwengu wa Leo ambapo unaweza kufanya makubwa Kwa dhana ambazo zinetuzunguka.

    Kwa mfano ukiangalia

    🌐 ChatGPT inapatikana bure

    🔍 Google ni Bure pia

    ▶️ YouTube ipo bure

    🎨 Canva unaweza kuipata burr

    🎙 Unaweza kusikiliza au kufanya Podcasts bure

    📚 Mtandaoni Kuna kozi kibao ambazo Nazo zinapatokana bure. 

     

    Kitu pekee unachohitaji ni intaneti Ili uweze kuvitumia hivi vitu Kwa manufaa, na Cha kushangaza zaidi ni kwamba tayari intaneti unayo, kama umeweza KUSOMA ujumbe huu maana yake intaneti unayo. 

     

    Kitu pekee unachohitaji ni nidhamu ya kuamua na kuanza kufanya mara Moja

     

    Sijui umenielewa hapo.

     

    Acha visibgizio kuanzia Leo hii na Anza kuzalisha matokeo.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza 

    Jifunze zaidi Kutoka Kwa GODIUS RWEYONGEZA Kwa kujiunga naye hapa

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Madebe tupu huvuma

    Leo kuna kauli mbili muhimu sana ambazo nataka tuzijadili kwa ufupi tu.

    Kauli ya kwanza ni kauli ya wahenga watu wanaosema kwamba, madebe tupu huvuma.

    Na kauli ya pili ni kauli inayosema kwamba, an idle mind is a devil’s workshop. ikiwa na maana kuwa akili tupu ni karakakana ya shetani.

    hizi kauli zote mbili zinatusisitiza mimi na wewe kitu kimoja kikubwa sana. Na kitu hiki ni kufanya kazi.

    Tunaishi katika dunia ambayo vijana na watu wengi hawapendi kufanya kazi. LAKINI WANAPENDA PESA.

    Wanapenda kulipwa sana, LAKINI HAWAPENDI KUTOA THAMANI KUBWA.

    Cha kushangaza zaidi ni kwamba baadhi ya vijana unaweza kukuta kwamba wapo vijiweni wamekaa, wakiwa hawafanyi jambo lolote la maana la kuwaongezea aidha wao thamani au kuwaongezea kipato, lakini bado wanadharau kazi.

    Ifike hatua ambapo wewe rafiki yangu, utapangilia ratiba yako na kuwa bize muda wote. Kuwa na fikra za kuchapa kazi mara zote.

    ili uwe unachapa kazi mara zote, hakikisha mara zote unapangilia ratiba yako. Ratiba yako ndiyo njia pekee ya wewe kupata chochote kile unachotaka kwenye maisha yako.

    Kamwe rafiki yangu usikubali kuwa debe tupu! Na kamwe usikubali kuwa karakana ya shetani. Lengo la makala hii isiyo kukuhubiria, bali ni kukupa ukweli ambao utaufanyia kazi.

    Ukweli ni kuwa kelele nyingi unazosikia kwenye maisha yetu ya kila siku. Iwe ni kwenye mitandao ya kijamii, kwenye vyombo vya habari au sehemu yoyote ile ni kutoka kwa watu ambao hawana kitu cha kufanya. Yaani, madebe tupu.

    Kama kila mtu akiwa bize kuanzia leo hii. Tutaifanya hii dunia kuwa bora zaidi kuliko ilivyo sasa hivi.

    Na njia bora ya dunia hii kuwa bora zaidi ni kwa mimi na wewe kuanza kutimiza wajibu wetu.

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Jinsi ya kuwakomesha watu wanaokukatisha tamaa kistaraabu kabisa (Ila Utakuwa Umewakomesha)

    Ngoja nikwambie kitu rafiki yangu. Kama hujawahi kukutana na watu ambao wanakukatisha tamaa, inawezekana hujawahi kuthubutu kufanya kitu cha tofauti na vile vilivyozoeleka kwenye jamii au hufikirii kwa ukubwa kabisa. Ni hivyo tu.

    Ila kama unafanya vitu vya tofauti, ni wazi kuwa watu wataanza kukukatisha tamaa kwenye kile unachofanya.

    Inawezekana watu wakakukatisha tamaa moja kwa moja kwa kauli zao. Mfano ni Kauli Hizi Tatu (03) za Kukatisha Tamaa ambazo nimezieleza kwenye hii makala, na ubora ni kwamba nimekueleza namna ya kuziepuka pia

    Lakini habari njema ni kwamba, njia nyingine ya kuwanyamazisha watu wanaokukatisha tamaa, ni kwa wewe kufanyia kazi kile unachotaka kufanyia kazi bila ya kuacha, haurudi nyuma na wala hukwamishwi na kitu chochote.

    Maneno yao yanakuwa  kama moto wa kuchochoea zaidi kile unachofanya. Hivyo, kitendo cha wewe kusikia kile wanachosema, unaamua kuongeza juhudi zaidil ili uweze kupata matokeo ambayo ni bora zaidi.

    Hawa wanaokukatisha tamaa, wewe unapaswa kuwashangaza kwa kuwaonesha kwa vitendo kwamba umeweza kufanya na hicho kitu kimekuja kwenye uhalisia.

    Kamwe rafiki yangu, usikubali kukata tamaa wala kurudi nyuma. MARA ZOTE SONGA MBELE

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Sahau Yote Kwenye Pesa Na Fedha Zako Ila Usisahau Haya Matano (05) Tu

    Kwenye fedha mengi ambayo unapasawa kuzingatia na kuhakikisha kwamba umeyafuata, wakati vyote vikiwa ni vya muhimu ila kuna kitu kimoja ambacho kamwe haupaswi kusahau hata siku moja.

    Na kitu hiki ni kwamba kamwei haupaswi kutumia pesa zaidi ya kipato chako

    pili haupaswi kuacha kuweka akiba

    tatu, hakikisha kwamba mara zote unawekeza na kuifanya fedha ikufanyie kazi hata kama umelala

    Nne, hakikisha kwamba mara zote unaongeza kipato chako. Kipato chako cha mwaka jana kisiwe sawa na kipato cha mwaka huu. Mwaka huu hakikisha kwamba unapambana kuhakikisha kwamba unaongeza kipato chako zaidi.

    Tano, hakikisha kwamba watu hawajui, kamwe ni lini huwa unaingiza fedha au ni lini hauna fedha. Maisha yako yawe yaleyale ukiwa na fedha, na hata ukiwa hauna fedha.

    Maisha yako kila mara yawe yaleyale.

    Hayo ndiyo mambo matano ambayo kamwe haupaswi kusahau linapokuja suala zima la pesa. Yazingatie, utanishukuru maisha yako. Hata hivyo ninavyohitimisha makala ya leo, ningependa tu kukwambia maneno ya Warren Buffet anayesema kwamba, usipoteze fedha zako na kamwe usisahau hiyo sheria hata siku moja.

    SOMA ZAIDI:

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Siri Kuu Ya Mafanikio Ni Hii

    Leo nataka nikujulishe siri kuu ya mafanikio ambayo watu wengine wamekuwa hawakwambii.

    Unaweza kufanya yote kuhusu mafanikio lakini kama utakosea, hili uje wazi kuwa utakuwa umekosea kweli. Na kitu hiki ni kurudia makosa ambayo watu ambao  hawajafanikiwa wanafanya.

    Ukiona mtu ambaye hajafanikiwa, ujue kuna kitu ambacho watu waliofanikiwa wanafanya ila yeye hafanyi. Hivyo, njia pekee ya wewe kujiondoa kwenye umaskini ni kuhakikisha kwamba unaepuka kufanya yote yanayofanywa na wale ambao hawajafanikiwa.

    VItu wanavyofanya ndivyo vimewafanya wasifanikiwe. Siyo kwamba nakuwa mbaya kwenye hili, bali najitahidi kuhakikisha kwamba nakwambia ukweli kwenye hili. Lifahamu vyema, na ufahamu ukweli huu. Ufanyie kazi

    Kama hutaki kuwa masikini, usifanye wanachofanya maskini.

    Mfano wa kawaida, wakati wao wanakazana kutafuta hela yao na kuitumia yote mpaka inaisha. Wewe kazana kutafuta hela kisha wekeza. Unaona, ni kitu kidogo cha toafuti ambacho utakuwa umefanya lakini ambacho kitaleta tofauti kubwa kati yako wewe na wao.

    Wakati wao wanalewa, wanakula bata wikendi nzima, wewe achana na ulevi na wala usiwe na uraibu na kitu chochote kile. Hela ambayo ungeitumia kwenya uraibu, itumie kwenye kuwekeza.

    Wakati wao wanakimbizana kununua magazeti, weew nunua vitabu.

    Wakati wao wanasilikiza redio, wewe sikiliza audio na mafunzo ya kuelimisha. Mengi ya hayo unaweza kuyapata hapa, tena bure kabisa.

    Na mengine mengi

    Kwa leo inatosha rafiki yangu. Tafadhali, anza kufanyia kazi haya uliyojifunza hapa

    SOMA ZAIDI: Mambo Saba (07)Ambayo Watu Waliofanikiwa Huwa Wanaepuka Kufanya

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Kitu Kinachofanya Mabadiliko Kuwa Magumu Kwenye Biashara Yako

    Rafiki yangu salaam, Hongera sana kwa siku hii nyingine ya kipekee sana.

    Siku ya leo ningependa kukwambia kitu kinachofanya mabadiliko kuwa magumu kwenye biashara yako. Kitu hiki siyo kingine bali ni kutaka wengine wabadilike huku wewe ukiwa hubadiliki.

    Mfano, unataka watu wawahi kufika kazini lakini wewe unachelewa. Unataka watu wafanyie kazi mabadiliko fulani lakini wewe unafanya kinyume na yale mabadiliko.

    Ukweli ni kuwa kama kuna mabadiliko ambayo unataka kuyaona kwenye biashar ayako, basi wewe unapaswa kuwa nambari moja kwenye kuyafanyia kazi ili yaweze kuja kwenye uhalisia.

    Ni hivyo tu.

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangia ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Ninavyotunza Kumbukumbu Zangu Za Kiuandishi Zisipotee. Na Jinsi Wewe Unavyoweza Kufanya Pia

    Rafiki yangu, juzi nilikuwa naandika makala nzuri sana, nilipokuwa nakaribia kuimaliza kabisa nilibonyeza sehemu ile makala ikapotea yote.

    Kama unajua zoezi la uandishi lilivyo, utakubaliana nami kwamba kupoteza kazi ambayo umeandika kwa zaidi ya saa moja na zaidi ni kupoteza sana. Nilichofanya, sikukata tamaa, ilibidi nirudie kuiandika ile makala upya. Ninaposema, upya, namaanisha upya kabisa.

    Ila kwa kawaida huwa nachukua tahadhari sana kuhakikisha kwamba sipotezi kazi zangu ninazoandika. Na hata hii juzi nilikuwa nimechukua hizi tahadhari, japo nilishindwa kufahamu ni kitu gani kilitokea moja kwa moja.

    Nachukua tahadhari sana kwa sababu, nilishawahi kupoteza kazi nyingi zaidi ya hii ya juzi siku za nyuma. Nikajifunza, na ndiyo maana sasa hivi, sitaki kurudia makosa yale yale ambayo niliwahi kufanya siku za nyuma.

    na pia unapopoteza kazi moja, mara nyingi unajikuta kwamba unatulia kwanza na kukosa ile hamu ya kuendelea mbele na uandishi. Binafsi ninawajua waandishi wengi ambao waliandika na kupoteza kazi (kitabu) yao moja, baada ya hapo wakashindwa kuendelea kuandika zaidi na zaidi.

    Baada ya kosa la juzi nimeongeza umakini zaidi. Na hapa ninaenda kukueleza njia ambazo natumia kuhakikisha kwamba sipotezi kazi yangu yoyote ambayo nimeamua kufanya hata kama ni kidogo. Kama ungependa kusoma makala iliyofutika na kurudiwa kuandika ni HII HAPA

    Kwanza, nahakikisha kwamba naandika nikiwa mtandaoni.

    Moja ya kitu ninachofanya siku hizi ni kuhakikisha kwamba ninaandika nikiwa mtandaoni. Maana yake kazi inakuwa inajisevu yenyewe automatically kwa njia ya mtandao. Mara nyingi umeme ukikatika, mfano kama nipo ofisini na ninatumia desktop ya mezani, ninahakikisha kwamba ninaandika nikiwa mtandaoni. maana sina undugu na TANESCO.

    Wanaweza kukata umeme wao muda wowote, na pengine kwa bahati mbaya, nikawa sijasevu kazi hiyo, na pengine nimeshafanya kazi hiyo kwa saa kadhaa bila kusevu. Na kama sijasevu kwa muda wote huo ndiyo kusema kwamba kazi hiyo ninaenda kuipoteza.

    Lakini kama nimesevu kwa njia ya mtandao, maana yake hata ikitokea changamoto kama hiyo, bado ninaendelea kuwa na uhakika wa kutosha kwamba kazi yangu ipo, na ipo salama mtandaoni.

    Na ninaweza kuchukua, kompyuta au simu nyingine kwa ajili ya kuendeleza ile kazi.

    #makala zikae kwenye blogu na vitabu vikae google

    Nikiandika makala,  basi naiandikia kwenye blogu moja kwa moja. Hili linanisaidia nikimaliza, kuhariri na kuiruhusu iende hewani.

    Nilikuwa na changamoto ya kuandika makala na kuzisambaza whatsapp tu. Lakini siziweki kwenye blogu, changamoto ya makala hizi ni kwamba baada ya muda zinapotea na whatsap kunakuwa hakuna mtiririko mzuri wa maudhui ambayo mwandishi unaweka.

    Inakuwa ni ngumu kwa mtu kufuatilia maandiko yako kwa wakati wa baadaye kwa utulivu. Hivyo, njia pekee ya kufanya hivyo ni kupitia blogu.

    Kitu kizuri kuhusu blogu ni kwamba, haipotezi kile unachoweka. Labda wewe uamue kufuta kile ulichoweka. Lakini la sivyo kila kitu kinakaa sawa bila ya kupoteza. Kwenye hii blogu, kuna makala ambazo nimeweka humu tangu mwaka 2016. Lakini makala nilizoweka whatsap mwaka 2016, leo hii wewe mwenyewe huwezi kuziona.

    Lakini makala za hapa bloguni zote zipo. Hata kama mwaka 2016, ulikuwa bado hujaanza kufuatiliaa kazi zangu.

    Mfano mmojawapo ni makala hii Ifahamu Tofauti Kati Yako na Huyu.

    na makala nyingine nyingi zilizo kwenye hii blogu ambazo niliandika mwaka siku za nyuma.

    Hivyo kwangu, whatsap nitaendelea kuitumia kushirikisha maudhui pamoja na mitandao mingine ya kijamii. Ila sehemu kuu ambapo maudhui yatapatikana kwa uhakika ni hapa kwenye blogu hii ya SONGAMBELE. Na hata yale maudhui machache ambayo nilikuwa sijayahamishia hapa, nitafanya utaratibu yahamie hapa mara moja.

    Aidha kwa upande mwingine vitabu vyote vinapaswa kukaa google. Hata kama nitaandikia maeneo mengine, lakini nitapaswa kuvihamishia google mara moja ili vikae huko.

    Usikubali ufe na ndoto yako ya kuwa Mwandishi mkubwa.

    Sehemu nyingine ninazotumia kutunza vile ninavyoandika ni

    • keep notes ya google
    • simplenote (japo hii siku hizi siitumii sana)
    • Telegram; kutokana na uwezo wake wa kutunza kumbukumbu bila kuzipoteza, bado telegram inaweza kutegemea kiaina kuliko whatsap. Huku nina kumbukumbu za tangu mwaka 2016, lakini whatsap hata kumbukumbu za mwanzoni mwaka jana tu sina.
    • dropbox

    wewe kumbukumbu zako unatunza wapi?

  • Vitengo Vitatu Ambavyo Vipo Kwenye Kila Biashara.Hata Kwenye Biashara Yako Vipo Hata Kama Hujui. Virasimishe Sasa

    Kuna mambo 55 ya kuzingatia kabla ya kuanzisha biashara, mambo haya yote yameelezwa kwenye hiki kitabu. Kupata nakala yako, wasiliana na +255 684 408 755
    Hakikisha unajipatia nakala ya kitabu hiki. Tumia namba ya simu +255 684 408 755

    Siku za nyuma nilikuwa najiuliza maswali mengi ambayo hayakuwa na ukomo. Hivi huwa inakuwaje kunakuwa na vitengo kwenye biashara au taasisi. Ni nini ambacho huwa kinafanyika mpaka watu wanajua kitengo fulani na fulani vinapaswa kuwa sehemu tofauti? Biashara inapaswa kuwa imefikia ngazi gani ili kuweza kuwa na hivyo vitengo vyote?

    Siku ya leo ninaongelea vitengo vitatu muhimu kwenye biashara yako. Kama una biashara, hata kama ni ndogo, basi jua wazi kuwa kuna vitengo ambavyo huwezi kuviepuka. Hivi vitengo vipo, hata kama hujui vipo, ila ukweli ni kwamba hivi vitengo vipo kwenye biashara yako.

    Inawezekana kwa sasa hivi kwenye biashara yako uko peke yako, ila ukweli ni kwamba siyo kwamba hivi vitengo havipo. Hivi vitengo kwa sasa hivi vipo, bila kujali ukubwa wa timu yako na kama uko peke yako maana yake majukumu yote ya kila kitengo kwenye biashara unayafanyia kazi wewe pekee. 

    Kitendo cha wewe kufahamu hivi vitengo muhimu kwenye biashara yako siku ya leo ni kitu muhimu sana, 

    Kwanza kitakusaidia kujua ni lini unafanya kazi kwenye kitengo gani.

    Itakusaidia baadaye utakapohitaji kuajiri, kujua unamwajiri mtu kwenye kitengo gani na hata kuwa tayari umemwekea majukumu kamili anayotakiwa kuyafanyia kazi hatua kwa hatua kama ambavyo umekuwa ukiyatekeleza.

    #kitengo cha kwanza ni kitengo cha uzalishaji. 

    Biashara yoyote ile lazima ina kitengo cha uzalishaji. Uzalishaji ni kufanya bidhaa au huduma zinazohitajika kwenye biashara zipatikane. 

    Mfano kama una duka, uzalishaji ni kitendo cha kununua bidhaa zinazohitajika dukani.

    Kama kwa mfano unafanya uzalishaji wa sabuni, mambo yote yanayohusiana na uzalishaji wa sabuni, yanakaa kwenye kitengo cha uzalishaji. Hii ndiyo kusema kwamba mambo yote yanayohusisha kutafuta bidhaa zinazohitajika kwa ajili ya uzalishaji wa sabuni, mpaka pale sabuni inapokuwa tayari kwa ajili ya kuuza ndipo tunasema kwamba uzalishaji umekamilika.

    kwa biashara ya huduma, uzalishaji ni unakuwa pale unapokuwa unaandaa hiyo huduma. Kama ni kozi, kitendo cha kuandaa hiyo kozi ndiyo uzalishaji wenyewe. 

    sasa uzalishaji unapokuwa umekamilika, kazi inayofuata ni ya kitengo cha pili ambacho ninaenda kukieleza hapa chini. Kitengo cha uzalishaji mara zote huwa kinakuwa chini ya meneja wa uzalishaji, ambaye anahusika na kusimamia uzalishaji umefanyika kikamilifu kwenye biashara.

    #kitengo cha masoko na mauzo.

    Hiki ni kitengo muhimu sana ambacho kipo kwenye kila biashara. Inawezekana hujui kama unacho, ila ukweli ni kwamba kipo kwenye biasahara. Ni kitengo muhimu kwa sababu ndiyo kinafanya biashara iendelee kuwepo. Bila ya hiki kitengo maana yake hakuna biashara.

    Hiki kitengo ndicho kinaleta hela au fedha kwenye biashara. Hiki ni kitengo ambacho kinafanya vitengo vingine viwepo. kitengo hiki kisipofanya vizuri, vitengo vingine vinaenda kufa, na hatimaye biashara kutoweka.

    Masoko ni kuifanya biashara ijulikane kwa watu na

    Mauzo ni pale mteja anapotoa fedha mfukoni, na kulipia bidhaa au huduma.

    Mauzo yanakuwa hayajakamilika pale unapokuwa hujapokea fedha, na kamwe hupaswi kuhesabu umeuza kama hujapokea fedha. Hata kama mteja amechukua bidhaa

    SOMA ZAIDI: Huu Ndiyo Muda Mzuri Wa Kusema Kwamba Umefanya Mauzo Kwenye Biashara Yako

    #kitengo cha tatu ni kitengo cha fedha

    Hiki ni kitengo kinchosimamia mzunguko wa fedha kwenye biashara, yaani, fedha zinazoingia na kutoka kwenye biashara. Kitengo hiki huwa kinakuwa chini ya meneja wa fedha na mipango.

    Kitengo hiki kinahakikisha hesabu zote zimetunzwa vizuri kwa ajili ya kumbukumbu za sasa na baadaye.

    Kitengo hiki kinaenda kukusaidia wewe mfanyabiashara mchanga kutenganisha fedha zako binafsi na fedha za biashara. Maana wengi huwa wanachanga kwenye hili. Unakuta mtu anachanganya fedha zake binafsi na fedha. Sikiliza uhusiano mkubwa uliopo kati yako wewe na biashara yako ni kwamba wewe ni mmiliki wa biashara, lakini fedha za biashara haupaswi kujimilikisha na kuzifanya kuwa za kwako. Fedha za biashara ni za biashara. wewe unapaswa kupata pesa kutoka kwenye biashara yako kwa njia mbili tu.

    Njia ya kwanza ni kama mshahara au kamisheni, wewe kama mfanyakazi kwenye biashara yako basi unastahili kupata mshahara au kamisheni na njia ya pili ya wewe kupata pesa kutoka kwenye biashara yako ni gawio au faida.

    HAKIKISHA UMESOMA HII: Jinsi Ya Kujilipa Mshahara Kutoka Kwenye Biashara Yako. Njia Mbili Zilizothibitishwa 

    Hivyo, ndivyo vitengo vitatu muhimu sana kwenye biashara yako.

    Kama kwa sasa hivi unafanya kazi kwenye kila kitengo, kazi yako kubwa ambayo unapaswa kujipatia leo hii ni kuanza kuweka vitengo kwenye biashara na wewe kujua unafanya kazi kwenye kitengo gani. Tena kama umeajiri, wagawe watu walio kwenye biashara yako kwenye vitengo. 

    Muhimu, hakikisha kwamba kila kitengo kinakuwa na kiongozi, mtu ambaye atawajibika kwa kufanya au kutofanya jambo fulani.

    MUHIMU: Naomba ifahamike kwamba hivi vitengo siyo mwanzo na mwisho. Unaweza kuwa na vitengo zaidi ya hivi, ila hivi vitatu ni vya kuanzia. Kaidiri biashara inavyokua unaweza kuwa na vitengo vingine zaidi. Mfano kitengo cha masoko na mauzo bado unaweza kuvitenganisha na kuwa kitengo cha MASOKO peke yake na kitengo cha MAUZO peke yake pia.

    Aidha unaweza kuwa na vitengo cha utafiti pia, na vitengo vingine kulingana na jinsi biashara inavyokua.

    Una swali la ziada kuhusu hii mada ya leo. Kama lipo inawezekana swali lako limejibiwa kwenye kitabu cha MAMBO 55 YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZISHA BIASHARA. Hakikisha umepata kitabu hiki kizuri sana kwa kuwasiliana na +255 684 408 755. Fanya hivyo sasa hivi ili uweze kupata nakala yako,

    La sivyo, mimi nakushukuru sana kwa muda wako siku ya leo. HAKIKISHA UMEJIUNGA NA WATU WANAOPOKEA MAKALA MAALUM KUTOKA KWANGU kila siku. Kujiunga, jaza taarifa zako hapa chini

    Kazi ya kufanya siku ya leo. 

    1. ainisha majukumu yote yanayofanyika kwenye biashara yako.
    2. yagawe majukumu yako kwenye vitengo vitatu vikuu vya kwenye biashara yako.
    3. ukiwa unafanya jukumu kuanzia leo, jiulize hili ni jukumu la kitengo gani?
    4. Hakikisha umepata kitabu cha MAMBO 55 YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZISHA BIASHARA  (Tumia namba ya simu +255 684 408 755)
    5. Nitafute kwa ushauri zaidi kuhusu hili ili niweze kukusaidia kwa undani. Hapa kutakuwa na gharama za consultation. Laki moja kwa saa moja kwa njia ya simu au mtandao, laki mbili na nusu kama tutaonana ana kwa ana.

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia. 

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya simu au mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    NB: Wakati naandika makala hii mara ya kwanza, karibia na kumaliza, makala ilifutika yote, kwa vile nilishaamua kuandika makala hii kwa mara nyingine. Na ndiyo maana mnaiona hapa.

    Kwenye makala ya kesho, nitaeleza hili kwa kina na hatua ninazochukua kuhakikisha kwamba changamoto kama hizi hazijitokezi mbeleni. Na jinsi wewe unavyoweza kufanya ili usije ukakumbana na changamoto kama hizi. Hakikisha kesho unakuwa hapa hapa.

    SOMA ZAIDI: 

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Aina Tano (05) ya watu ambao kila mfanyabiashara anapaswa kujenga nao urafiki wa karibu

    Rafiki yangu wa ukweli salaam. Hongera sana kwa siku hii nyingine ya leo. Leo nataka kukwambia aina tano ya watu ambao kama mfanyabishara unapaswa kuanza kujenga nao urafiki mapema.

    Unapaswa kuanza kujenga urafiki wa namna hii mapema sana bila kujali biashara yako ni ndogo au kubwa.

    #1. ni wanasheria.

    Hawa ni watu muhimu sana kwenye ulimwengu wa biashara. wanaweza kukushauri mambo mengi, kuanzia kwenye mikataba (ukweli ni kwamba kama mfanyabiashara kuna mikataba mingi ambayo utaingia, na wafanyakazi, na washirika, wasambazaji n.k), mpaka kwenye maamuzi fulani ya kisheria ambayo utatakiw akufanya kwenye safari yako ya biashara.

    watakushauri mengi kuanzia kwenye mikataba ya wafanyakazi na hata namna bora ya kuondoa wafanyakazi bila mkono wa sheria kukupitia. Na mengine mengi.

    hivyo, moja ya kipaumbele chako kiwe ni kujernga uhusiano wa karibu na wanasheria. Kama kwenye mzunguko wako hauna mwanasheria, basi ni muda muafaka wa kufanya hivyo.

     

    #2. Washauri wa kodi

    hawa ni watu muhimu sana. Wanajua mengi kuhusu kulipa kodi ambayo hujui, wanajua namna ya kukusaidia kulipa kodi sahihi kwa wakati sahihi. Ukiw ana hawa watu watakusaidia sana kulipa kodi inayoendana na kile unachotakiwa kulipa

     

    #3. Wahabibu

    Hawa ni watu wengine muhimu sana ambao unapaswa kujenga nao ukaribu. Hawa watakusaidia sana kwenye kutunza hesabu za biashara yako vizuri.

     

    #3. Watu wa masoko

    Ni wazi kuwa biashara yako itakuwa na kitengo cha masoko. Hivyo, unahitaji pia kuhakikisha kwamba unakuwa na watu wa namna hii. Watu hawa wa masoko watakusaidia kwenye kutangaza bidhaa zako unazouza na kulifikia soko lako vizuri.

     

    #4. graphic designers

    Hawa watakusaidia kudizaini kazi zako na hasa katika mfumo wa video na picha. Kummbuka picha moja inaongea maneno milioni.

     

    #5. kocha

    Unahitaji kuwa na kocha ambaye atakushikiria hasa kwenye kufuatilia malengo na ndoto zako ili uweze kuzifanyia kazi kama ulivyoziweka. Bila ya kuwa na mtu wa namna hii, utajikuta kwamba unaweka malengo ila huyafanyii kazi. Au unaanza kuyafanyia kazi ila hayatimii.

     

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Epuka Makosa Haya Matano (05) Kwenye Biashara Yako

    Rafiki yangu mfanyabiashara, Leo nataka nikuainishie MAKOSA matano ambayo wafanyabiashara Wengi hufanya. Tafadhali hakikisha kwamba unayaeouka Haya MAKOSA Kwa manufaa ya biashara Yako ya Sasa na baadaye

    Kosa la kwanza: kutioipa biashara Yako jina.

    Labda nianze Kwa kukuuliza jina biashara Yako ni lipi? Kama biashara Yako Haina jina unakosea sana.
    Mtoto akizaliwa anapewa jina
    Wewe pia una jina.
    Mpaka mbwa na paka Wana majina.
    Sasa wewe unashindwaje kuipa jina biashara Yako.

    Ni Muhimu biashara kuwa na jina, maana kikawaida biashara Huwa inachukuliiwa kama kiumbe hai. Na hii itakusaidia wewe kujitofautisha wewe na biashara Yako.

    Hivyo, kazi Yako kubwa ya Leo ni kuhakikisha biashara Yako Ina jina

    Kama ungependa kupata mwongozo Kamili wa kupata jina zuri la biashara, basi, pata nakala ya kitabu Cha MAMBO 55 YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZISHA BIASHARA. Kitabu kina mwongozo Kamili, wa kupata jina zuri Kwa ajili ya biashara Yako, unaweza kupata mwongozo huu Kwa kuwasiliana na +255 684 408 755. Kitabu softcopy ni 10,000/- na hardcopy ni 15,000/- (usafiri ni juu Yako mwenyewe).

    Kuna mambo 55 ya kuzingatia kabla ya kuanzisha biashara, mambo haya yote yameelezwa kwenye hiki kitabu. Kupata nakala yako, wasiliana na +255 684 408 755
    Hakikisha unajipatia nakala ya kitabu hiki. Tumia namba ya simu +255 684 408 755

    Kosa la pili ni kutoipa kipaumbele biashara yako.

    Biashara yako unapaswa kuipa kipaumbele kikubwa sana kuliko kitu kingine chochote. Kama huipi biashara yako kipaumbele unaiua mwenyewe.

    Kama umeajiriwa, hakikisha unakuwa na ratiba yako umeigawa mara mbili. Muda wa kazi za mwajiri na muda wa biasahra yako. Usifanye hilo kosa ambalo wengine huwa wanafanya.

    SOMA ZAIDI: Kitu Muhimu Unachopaswa Kufahamu Kabla ya Kuvuna Mafanikio yoyote

    Kosa la tatu: usikubali ujinga kwenye biashara Yako

    Ndiyo usikubali ujinga wowote aidha Kutoka Kwa watu unaofanya nao kazi, washirika, au hata wateja. Kuwepo na misingi ambayo inasimamiwa kwenye biashara yako. Kwenye ubora, kwenye huduma, kwenye viwango ambavyo wafanyakazi wanapaswa kufikia na kamwe usikubali ujinga.

    Kosa la nne: usikubali huduma mbovu zitolewe Kwa wateja.
    Kwa mteja wako yeyote ambaye anapata huduma kwenye biashara Yako, usikubali apate huduma mbovu. Kama Sasa hivi huduma hazijakaa vizuri Anza kurekebisha Hilo. Ili uwe na huduma ambazo ni bora, huduma za viwango vya juu.

    Kosa la tano: usikubali kuwa na siku ambayo hujaipangilia.

    Kama mfanyabiashara kosa kubwa unaloweza kufanya ni kutokuwa na ratiba. Hakikisha unakuwa na ratiba ambayo utakifanyia kazi ndani ya siku Yako. Usifanye kitu chochote ambacho hakipo kwenye ratiba yako.

    SOMA ZAIDI: Uchambuzi wa Kitabu: The Leader Who Had no Title (Kiongozi Asiye na Cheo); Mambo 200 Niliyojifunza katika kitabu hiki.

    Kosa la sita: Usikubali kuendesha biashara Yako bila kutunza kumbukumbu.

    Kumbukumbu za PESA. Kumbukumbu za Kila mteja ambaye amenunua. Kumbukumbu zote ziwekwe sawa, maana kesho na keshokutwa hizi kumbukumbu zitakuwa na maana Kwa biashara Yako.

X