-
Faida Tatu KUBWA unazopata pale unapowekeza kwenye hisa
Rafiki yangu, umewahi kuwaza kwamba ukiwekeza kwenye hisa utanufaika na kitu gani? Kuna faida nyingi za kuwekeza kwenye hisa, ila kwenye hii makala ya siku ya leo ningependa kuongelea faida mbili kubwa kwa haraka Faida ya kwanza ya kuwekeza kwenye hisa ni kupata ongezeko la thamani. Ongezeko la thamani ni pale unaponunua hisa kwa bei…
-
USIFANYE kosa hili unapotaka kufanya uwekezaji
Rafiki yangu, bila shaka uko vizuri. Leo nataka nikwambie kosa moja unalopaswa kuepuka unalofanya uwekezaji. Na kosa hili ni kuwekeza kwa sababu rafiki zako wanawekeza. Ni muhimu Sana kabla wewe hujawekeza, uhakikishe kwamba unefanya ufuatiliaji wa kina, Kisha uwekeze. Rafiki yangu, USIFANYE kosa la kuwekeza kwa mkumbo.
-
Mfumuko wa bei ni nini?
Kila mwaka serikali kupitia benki kuu ya Tanzania huwa inatoa takwimu za mfumuko wa bei. Unakuta ripoti inasema kwamba mwaka huu mfumuko wa bei ni asilimia 4, 5,au 3.5,7 au vyovyote vile kulingana na ripoti inavyokuwa inasema. Wengi huwa hawajui mfumuko wa bei ni kitu gani na una madhara gani kwao. Leo hii ningependa kukueleza…