Category: KONA YA SONGA MBELE

  • Cha Kufanya Pale Wenzako Wanapokuzidi Elimu, Kipaji, Ujuzi, Konekisheni n.k

    Kama unajua Kuna wenzako wanakuzidi, elimu, kipaji, ujuzi, konekisheni n.k. unapaswa kupiga kazi kwa bidii. Yaani, wewe huna maarifa, ujuzi, kipaji halafu unabweteka. Inakuwa siyo poa hata kidogo. Moja ya kitabu ambacho nimewahi Kusoma kikanifungua sana ni kitabu cha 50CENT na cha Kobe Bryant. 50CENT anasema hivi, unaweza kumzidi akili, unaweza kumzidi konekisheni, unaweza kumzidi…

  • Ifahamu Kanuni Ya Asilimia Moja Na Jinsi Ya Kuitumia

    Hii ni kanuni ambayo ukiifahamu utaishi maisha mazuri na utafanya makubwa kwa nguvu kidogo sana. Yaani, itakuwa kama unagusa tu na mambo yanajipanga. Kulingana na kanuni hii ni kwamba, Kila siku kwako inapaswa kuwa ni siku ya kukua kwa asilimia moja tu. Kama umeweka malengo basi siku ya leo yafanyie kazi kwa asilimia moja, na…

  • Ugunduzi mkubwa kuwahi kufanyika hapa duniani

       Zimewahi kufanyika gunduzi nyingi sana hapa duniani. Na hata leo hii bado kuna gunduzi nyingi zinaendelea kufanyika. Hata hivyo, kuna ugunduzi mkubwa ambao ndiyo ugunduzi nambari moja kukiko ugunduzi mwingine unaoufahamu wewe. Na ugunduzi huu ni kuwa mtu anaweza kubadili maisha yake akibadili mtazamo wake. Hii ni kauli ya James Allen ambayo aliitoa kwa…

  • Inawezekana Kuinuka Tena Baada Ya Kuanguka

    Kama hujawahi kuanguka maana yake hujawahi hata kujaribu. Ila kama umewahi kufanya au hata kujaribu basi unajua wazi kuwa kuna changamoto na vikwazo ambavyo huwa vipo katika safari yoyote ya kimafanikio. Muda mwingine katika safari kama hii unakuta umeanguka. Hata hivyo, ninachopenda kukwambia ni kuwa unapaswa kuinuka hata baada ya kuanguka. Ukianguka 1. Jiulize kitu…

  • Sababu Tano Kwa Nini Unashindwa Kuamka Asubuhi Na Mapema Na Kitu Gan Unaweza Kufanya Sasa Hivi

        Ni takribani wiki sasa tangu nimeandika andiko langu nikieleza kuwa kuamka asubuhi ni tabia. Katika makala hiyo nilieza jinsi ambavyo unaweza kujenga tabia ya kuamka asubuhi na mapema hata kama hukuwahi kujenga tabia hii hapo awali. Hata hivyo, kuna mtu amejaribu kuufuata ushauri huo wa kuamaka asububuhi na mapema na umemshinda. Ameniambia kwamba…

  • Jijengee Utaratibu Wa Kusema Kidogo Na Kuwa Na Matendo Makubwa

    Kuna usemi kuwa ni rahisi kusema ila vigumu kutenda. Na katika ulimwengu huu ambao tunaishi sasa hivi wasemaji ni wengi. au watu wenye maneno ni wengi. unaweza kukuta watu kwenye mitandao yao ya kijamii wameandika kwamba wao ni wakurugenzi wa makampuni, wakiwa hawaweki juhudi za kuanzisha hayo makapuni.   Kitu pekee ambacho ninaweza kusema kwako…

  • Taarifa Muhimu Kwa Wakazi Wa Iringa Na Mikoa Yote Ya Jirani

    Taarifa Muhimu Kwa Wakazi Wa Iringa Na Mikoa Yote Ya Jirani Habari ya siku hii ya kipekee sana rafiki yangu. Hongera sana kwa sikku hii ya kipekee. Leo hii nina habari njema sana kwako wewe mkazi wa Iringa na mikoa mingine ambayo imezunguka hapo karibu. habari hii ni kwamba vitabu vya KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI…

  • Hatimaye Leo Nimemnasa Aliyesema Hakuna Haraka Barani Afrika

    KWA siku sasa nimekuwa nikijiuliza, hivi ni mtu gani aliyesema kuwa hakuna haraka barani Afrika. Leo hiiĀ  tarehe 12.4.2020 ndio nimemgundua huyu mtu aliyesema huu usemi. Najua unajua kuwa usemi huu ndio ule usemi ambao, watu wengi huwa wanautumia kama kisingizio cha kuchelewa. mambo ya maana. Usemi huu ndio umepelekea mpaka watu wengine kuamini kuwa…

  • Huu Ndio Mfumo Bora Utakaokuwezesha Wewe Kutimiza Malengo Yako. mfumo huu haujawahi kufeli hata kidogo

     HIVI IMEWAHI KUKUTOKEA, ukiwa kwenye chumba ambapo kuna  kelele nyingi za watu na unaongea na marafiki ila ghafla ukasikia sehemu mtu anataja jina lako. Yaani watu waliokuwa pembeni kidogo wanaonge mwanzoni na ulikuwa hujawasikia wanachoongea muda wote, ila zamu hii tu mtu kataja jina lako, basi masikio yako yameshanasa kila kitu. Hivi ni kitu gani…

  • Mafunzo Saba (07) Muhimu Kutoka Kwa Wajasiliamali Saba Waliofanikiwa Kibiashara Kwenye Karne Ya 19

    Siku ya leo ninaenda kukuletea masomo saba muhimu kutoka kwa wajasiliamali na wagunduzi bora a karne ya 19. Kutoka kwa watu hawa utaweza kujifunza mengi ambayo unaweza kuchukua hatua. Ujue ipo hivi rafiki yangu. Kwenye maisha unaweza kuamua kujifunza kutoka kwa watu waliofanikiwa au unaweza kuamua kujifunza ambao hawajafanikiwa. ubora wa kujifunza kwa watu waliofanikiwa…

  • Kitu kimoja Ambacho Watu Hawajui Kuhusu Biashara Zao

    Kitu kimoja ambacho hawajui watu kwenye biashara wanazofanya ni kuwa na wao ni wateja wa biashara zao.  Kitu hiki kinawafanya watu hawa kutoa bidhaa kwenye biashara bila mpangilio maalumu kwa sababu tu wao ni wamiliki wa biashara hizo.  Rafiki yangu, hili ni kosa kubwa ambalo hupaswi kufanya. Kuna wakati wewe unapaswa kuwa mteja kwenye biashara…

  • Ushauri Muhimu Kwa Mtu Anayeanza Biashara Kutoka Jack Ma

    Rafiki yangu, hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana. Bila shaka umeianza siku yako vyema kabisa. siku ya leo nakuja kwako na ushauri muhimu kwako wewe ambaye unapenda kuanzisha biashara. Ushauri huunimeona niulete kutoka moja kwa moja kwa Bilionea wa China, Jack Ma. Nimemleta kwako Bilionea huyu kwa sababu kanuni kuu za mafanikio ni…

  • Kitu Kimoja Cha Kishujaa Unachoweza Kufaya Kwa Dakika Moja Kikawa Na Manufaa Maisha Yako Yote

    Rafiki yangu, hongera sana kwa nafasi hii nyingine ya kipekee sana. Bila shaka siku ya leo ni siku yako ya kipekee sana. Ujue shujaa ni mtu ambaye anaheshimika sana kwenye jamii zetu. Lakini siku hizi jinsi ushujaa unavyopatikana ni tofauti kabisa na zamani. Wakati zamani ulihitajika tu uende vitani upigane na kulifanya taifa lako au…

  • Kitu Hiki Kimoja Huwezi Kujifunza Kwenye Vitabu

    Rafiki yangu kwa siku sasa nimekuwa nakusisitiza juu ya usomaji wa vitabu. Na kitu hiki ni muhimu sana kwako ili uweze kusoga mbele kimaisha. Hata hivyo kwenye kusoma vitabu kuna kitu kimoja ambacho inaonekana kabisa bado hujakifahamu. Kitu hiki ni kwamba hutakikuta kwenye vitabu. Na kitu hiki ni KUCHUKUA HATUA. Ujue unaweza kuwa unasoma vitabu…

  • Ukitembea Na Kauli Hii Ndani Ya 2019, Basi Jua Kwamba Unajiandaa Kupotea

    Hakuna haraka barani Afrika. Huu ni usemi ambao umezoeleka sana katika nchi za bara la Afrika, na haswa Tanzania. Watu huwa wanaukumbatia usemi huu kama vile ni amri. Na falsafa hii kweli ina wafuasi wengi sana. Ila napenda kukwambia kwamba ukiishi kwa kauli mbiu hii ndani ya 2019 basi unajiandaa kupotea. Sikudanyanyi ila ukweli ndio…

  • Nnavyoiona Miaka Mitano Ijayo Na Jinsi Utakavyoachwa Nyuma

    Kwanza kabisa nashukuru sana uwepo wa elimu hii ambayo tunaendelea kuipata kutoka walimu na watu mbali mbali wanaojitoa kila siku kuhakikisha wanakupa wewe maarifa ya kukutosha. Kwa hakika inatia moyo. Maarifa yanayotolewa na yanayopatikana kwenye blogu ya SONGA MBELE, yana lengo la kukuelimisha wewe, kukuamusha na kukusaidia ili ufanye makubwa. Lakini kikubwa ni kwamba wewe…

  • Hawa Ndio Watu Watano (05) Ambao Unapaswa Kuwasikiliza

    Habari ya siku hii ya leo Rafiki na ndugu msomaji wa blogu ya SONGA MBELE. Karibuni sana katika makala haya ya ya siku hii ya leo. Kwa sasa tunaishi katika dunia ambayo ina kila aina ya kelele. Kila mtu anaongea, kila wakati. Kelele kutokea kila kona hazitupi muda wa wa kukaa kidogo na kusikiliza.  Tupo…

  • KONA YA SONGA MBELE; Hii Ndio Kauli Ambayo Inadidimiza Ubunifu Hapa Harani Afrika.

    Moja kati ya bara lenye wingi wa rasilimali ni afrika. Ila kwa kuwa watu hawajajengwa katika msingi wa kuhakikisha kwamba wanaziona rasilimali basi wanatumia muda mwingi sana kuhakikisha kwamba wanalalamika kila siku, kila wakati. Hali hii inazidi kupoteza ubunifu wa vijana wetu wa kiafrika. Kuna vitu vingi sana vinavyofanya waafrika wasiweze kuzitumia  rasilimali zao ambazo…

  • KONA YA SONGA MBELE: Nani Anakujua?

    Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu msomaji wa makala zako pedwa ambazo hukujia kila siku ya jumapili. Karibu sana katika makala haya ya siku hii ya leo, ambapo tunaeanda kuangalia ni nani anakujua katika biashara yako? Mara nyingi mtu anapokuwa na wazo la biashara, ana kuwa tayari anaona kwamba wazo lake litamfanya…

  • KONA YA SONGA MBELE; Jinsi Ya Kuongeza Ufanisi Kazini-3

    Habari ya siku hii ya leo Rafiki na ndugu msomaji wa makala haya ya SONGA MBELE. Imani yangu siku ya leo imekaa vizuri sana, na unaendelea kujifunza zaidi na zaidi kuhakikisha kwamba unaongeza ufanisi kazini kwako. Makala za kila jumapili ambazo zinakuja katika kichwa cha kona songambele zimelenga jambo hilo. Leo hii tunaenda kuangalia SHERIA…

X