Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Hiki ni kitu ambacho kinaenda kukupa matokeo makubwa kama utakifanyia kazi

    Rafiki yangu mpendwa salaam, Bila shaka unaendelea vyema na kazi zako. Hongera sana kwa kazi. Siku ya leo ningependa nikwambie kitu kimoja ambacho kinaenda kukupa matokeo makubwa. Kitu hiki siyo kingine bali ni kufanya kazi ambayo unapenda. Kama unahairisha sana kufanyia kazi majukumu yako, kuna uwezekano mkubwa kuwa unafanya kazi ambayo wewe mwenyewe hupendi. Kama…

  • Muda Ni Dhahabu

    Muda ni kitu pekee ambacho watu wote tunacho Kwa usawa. Ni muhimu sana kwangu kuhakikisha kuwa nakutumia vizuri muda wangu Kwa Manufaa. Hata kama Sina utajiri wa fedha ninaweza kubadili utajiri wa muda kuwa wa fedha. Muda ni DHAHABU, ninapaswa mara zote kuhakikisha nakutumia vizuri. Asante.

  • Utajiri ni hatima ambayo Kila Mmoja anapaswa kuipambania

    Kujenga utajiri ni mtazamo. Napaswa kubadili mtazamo wangu na kuona kuwa inawezekana kujenga utajiri mkubwa. Watu wengi wanakuwa na imani mbalimbali Kuhusu utajiri, wanaona utajiri ni mbaya na matajiri ni wabaya. Mtazamo huu huu unawafanya wengi washindwe kujenga utajiri Kwa sababu huwezi kupata kitu ambacho wewe Mwenyewe unaona ni kibaya. Ili kujenga utajiri unapaswa kuwa…

  • Mambo kumi yatakayokusaidia kulianza juma hili ukiwa mbele ya watu wengine

    Hayo kwa leo yanatosha. Nikutakie mwanzo mwema wa juma hili hapa. Kila la kheri na waslimia sana Rafiki zako walio karibu na wewe.

  • Weka akiba kwa manufaa yako

    Ni vigumu sana kupata suluhisho la kudumu kwa njia za mkato. Suluhisho la kudumu, linahitaji njia ya uhakika ambayo utaifuata mpaka kufikia suluhisho. Kama una changamoto ya akiba, kukopa siyo suluhisho. Ila kuthibiti matumizi yako, kuongeza kipato na kuwa na vyanzo vingi vinayokuingizia kipato ndiyo suluhisho. Anza kuweka akiba leo, maana akiba ni mbegu ambayo…

  • Hili Ndilo Suluhisho la Kudumu Kwa Tatizo La Ajira Linaloendelea

    Rafiki yangu mpendwa, bila shaka unaendelea vizuri, changamoto kubwa kwenye zama tunazoishi sasa hivi ni ajira. Kuna vijana wengi ambao wamehitimu chuo ila hawana ajira, kila siku wanahangaika kuomba kazi kwenye taasisi moja baada ya nyingine. Ukweli ni kuwa kwenye zama tunazoishi sasa hivi hakuna ajira kama ilivyokuwa kwenye zama za viwanda. Hata hivyo kazi…

  • Nguvu Ya Vitu Vidogo Kuelekea Mafanikio Makubwa katika Vitendo…

    Huwa kuna kichekesho mtandaoni ambacho huwa kinasema ibada ilianza hivi, mpaka inaisha ilikuwa hivi.. Au ibada ilianza vizuri, ila mambo yalibadilila pale mchungaji aliposema atakayeimba vizuri ataondoka na sadaka… Vichekesho vya aina hii huwa vinakuja kwa mfumo tofauti, ila lengo la hivi vichekesho huwa ni kitu kimoja tu, kusisitiza nguvu ya KUCHUKUA HATUA YA KWANZA…

  • Vitu viwili vinavyokufanya ushindwe kufikia ndoto zao

    Ukiingia kwenye mitandao ya kijamii utakuta vijana mbalimbali wameandika kwenye mitandao yao mambo kadha wa kadha, unaweza kukuta mtu ameandika mfanyabiashsra, CEO, mjasiriamali na vungine vingi. Kati ya hayo matamanio mengi wanayokuwa nayo, ni wachache sana sana ambao huwa wanafikia na ndoto hizo. Kwa nini? Ninaenda kutoa sababu kuu mbili lakini kwanza, angalia video hiyo…

  • Unachohitaji wewe siyo hamasa zaidi bali ni matendo zaidi

    Mara kwa mara watu wamekuwa wanatafuta hamasa ya kufanya kitu. Ukweli ni kuwa huhitaji hamasa pekee ili kufanikisha lengo na ndoto yako kubwa. Bali unahitaji matendo ili uweze kufanyia kazi malengo na ndoto zako ziweze kufanikiwa. Nakwambia hivi kwa sababu hamasa huwa haidumu, hamasa ni kitu cha muda mfupi ambacho kinapotea. Hivyo ili ufanikishe malengo…

  • Jinsi ya kupunguza najuto yako utakapokuwa umezeeka

    Moja ya changamoto kubwa ammbayo huwa inawakuta watu ambao wanakuwa hawafanyii kazi malengo na ndoto zao ni kwamba wanapofikia mwisho wa maisha yao basi wanakuwa na majuto mengi ambayo yanawaandama kutokana nay ale ambayo hawakuweza kufanyia kazi. Sasa wali kubwa ambalo unaweza kuwa unajiuliza ni kuwa je, kuna namna ambavyo naweza kupunguza haya majuto kwenye…

  • Kishiria kuwa umechelewa kufanya maamuzi

    Rafiki yangu, kila siku kuna maamuzi ambayo tunatakiwa tufanye, yanaweza kuwa ni maamuzi ya nani uwe naye kwenye mahusiano, maamuzi ya biashara gani ufanye, maamuzi ya sehemu gani uende kutembelea. Maamuzi ya aina gani ya matangazo ufanye. Maamuzi ya nani umwajiri, nani umwondoe kazini au nani umpandishe cheo. Maamuzi ya shule gani mwanao asome au…

  • Kuanguka ni kiashiria kuwa kuna kitu unafanya

    Kuanguka siyo tatizo, kuanguka ni kishiria kwamba kuna kitu unafanya na ndiyo maana unakutana na vikwazo. Kumbe kuanguka kwako usikuone kama kigezo cha wewe kutoendelea mbele. Bali kuone kama sehemu ya wewe kuendelea kusonga mbele ili kuja kufanya makubwa zaidi. Kadiri unavyokua, maanguko yako yanakuwa makubwa zaidi. Na yanajulikana kwa watu wengi zaidi kuliko pale…

  • TAARIFA KWA UMMA

    Siku za karibuni whatsap zimepatwa na changamoto na changamoto ya kufungiwa, kitu ambacho kimenifanya nikawa siwezi kupata jumbe zenu moja kwa moja. Nimejaribu kufungua akaunti nyingine za whatsap ambazo nazo pia zimefungiwa pia. Hivyo, kwa sasa nimeamua kuwa nitatulia kutumia whatsap kwanza. ila nitakuwa natumia telegram. Unaweza kunifikia kwa haraka telegram kwa namba hii ya…

  • Wewe unafahamika Kwa kitu Gani ?

    Moja ya uamuzi unaohitaji kufanya ni Uamuzi wa namna unavyotaka ufahamike kwenye maisha Yako. Nimekuwa nikisisitiza hiki kitu mara Kwa mara, lakini cha kushangaza ni kuwa Watu wengi wamekuwa Bado wanarudia kufanya makosa yaleyale Kila mara. Ngoja nikwambie KITU, watu wengi unaowafahamu, huwafahamu Kwa sababu wanafanya Kila kitu au walikuwa wanafanya Kila kitu, bali unawafahamu…

  • Kufa Leo, uishi milele

    Ikiwa inamaanisha pambana Leo Ili juhudi zako ziendelee kukusaidia Mpaka kesho. WEKEZA Leo ule vinono kesho. Kubali kupoteza Leo, Ili kesho kesho kutwa upate Kila kitu. Ukweli ni kuwa maisha Yana trade off. Huwezi kupata Kila kitu unapokihitaji. Kuna baadhi ya vitu unahitaji uvipoteze Leo, Ili ufanye vingine lakini ukiwa Unajua kesho Utapata zaidi. Na…

  • Wiki Hii Nipo Nasoma Kitabu Cha Elon Musk. Kitu Kimoja Unachopaswa Kufahamu Kwanza

    Wiki hii nipo nasoma kitabu kizuri sana Cha ELON MUSK: Kilichoandikwa na Walter Isaacson mtalaam wa kuandika vitabu vya wasifu (biographies). Kwa Kuwa Bado naendelea kukisoma Kwa Sasa sitasema mengi zaidi ya kusema kuwa bila kujali unezaliwa wapi, Bado unaweza kuweka alama kwenye hii Dunia Huhitaji ruhusa ya watu wengine zaidi ya ruhusa Yako tu…

  • Je, ni kwa namna gani wewe unaitumia simu yako kwa manufaa?

    Wakati mwingine ukiambiwa kwamba simu yako ina uwezo mkubwa, unaweza kudhani ni masihala vile. Leo nimechapa mawasiliano (namba za simu) yaliyo kwenye moja ya email yangu. Nimepata karatasi zenye  kurasa 131 Na kila ukurasa umejaa juu mpaka chini. Nilipobeba karatasi zenye haya mawasiliano mkononi ndiyo nikagundua ni kwa namna gani simu yangu imebebeba vitu vingi…

  • Kama Hujisikii Kufanya Kazi

    Huwa inatokea kwamba ninaanza kuandika huku nikiwa sijui ni kitu gani cha kuandika. Sijapangilia mada ya kuandika lakini muda huohuo napaswa kuandika na kuonesha kitu kwa watu wangu wa nguvu kama wewe hapo. Na siku ya leo ni mojawapo. Hata hivyo huwa ikitokea siku kama hii, kitu cha pekee ambacho huwa natakiwa kufanya siyo kuacha…

  • Wiki ya Huduma Kwa Wateja

    Habari ya asubuhi upande wa huko Hii ni wiki ya huduma kwa wateja. Na nimeona nikupe taarifa muhimu sana rafiki yangu. Na taarifa hii ni kwamba wiki hii una kila sababu ya kuwasiliana na wateja wako. Mpigie hsimu hata mteja mwambia kwamba hii ni wiki ya huduma kwa wateja na nimepiga simu kwa ajili ya…

  • Hiki Ndicho Kitu Unachopaswa Kuwa Na Wasiwasi Nacho Kwenye Maisha Yako

    Rafiki yangu mpendwa, salaam Bila shaka unaendelea vizuri kabbisa. Hongera kabisa kwa siku hii nyingine ya kipekee. Leo ni Jumamosi ya tarehe 16, mwezi wa tisa mwaka 2023. Ni siku bora kabisa ambayo naamini umeweza kuitimia kwa viwango vikubwa. Siku ya leo kuna kitu kimoja tu ambacho ningependa kukwambia na kitu hiki syo kingine bali…

X