Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Nguvu Ya Vitu Vidogo Kuelekea Mafanikio Makubwa

    Helo leo ninayo furaha kutambulisha kwako kitabu cha Nguvu ya vitu vidogo kuelekea mafanikio makubwa. Ni kitabu cha kipekee sana. kabla sijasema mengi kuhusu kitabu hiki, nataka nikupe kwanza utangulizi wa kitabu ili uweze kuuusoma. Karibu Hivi umewahi kujiuliza kuwa vitu vidogo vinaweza kukusaidia kitu gani maishani mwako? Hivi kwa mfano, kitu kidogo kama kuamka…

  • Kama haupo tayari kupoteza, hautaokota

    KUNa wakati unahitaji upoteze kitu ili uweze kupata kitu. Kama haupo tayari kupoteza usitegemee kuokota. Kama hauko tayari kupoteza mbegu za mahindi, usitegemee kwamba unaenda kuvuna mahindi. Nadhani hii inaenda vizuri na ule usemi wa kihenga unaosema kwamba mtaka cha uvunguni sharti ainame. Au ule usemi wa kuwa mficha uchi hazai Sasa swali ni kwako…

  • Audiobook ya kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO hii hapa

    Habari ya upande wa huko rafiki yangu. bila shaka kila kitu kinaenda vyema kabisa. Leo hii nina furaha kukutaarifu kuwa kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO, kina audiobook yake pia. Audio hii itaanza kupatikana kuanzia mei 20, 2022. hata hivyo, leo hii nina sample kidogo tu kukuonjesha. unaweza kuisikiliza hapa. ukimaliza kuisikiliza, usiache kuweka…

  • VITU viwili usivyovijua kuhusu kitabu Cha jinsi ya kufikia ndoto ZAKO

    Unaendeleaje rafiki yangu, bila shaka kila kitu kinaenda vyema kabisa. Leo hii nina habari njema kwako.. Habari njema kuhusu kitabu cha jinsi ya kufikia ndoto ZAKO.Kitabu hiki ambacho kinaenda kuzinduliwa tarehe 20 Mei. 1. Usichokijua kuhusu hiki kitabu ni kwamba watu wanaendelea kuweka oda ya kitabu hiki.Ukiweka oda unapata kitabu hiki Cha kipekee kwa bei…

  • Zawadi hii utaipata endapo utaweka Oda ya kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO tu.

    Habari ya upande wa huko. Bila shaka unaendelea vizuri kabisa. Leo hii nina zawadi ila sasa hii zawadi siyo ya kila mtu. Hii zawadi ni kwa ajili watu wachache ambao wanataka kupiga hatua na kufika mbali.  watu wenye ndoto kubwa  watu ambao wanazifanyia kazi ndoto zao kwa KUTUMIA mwongozo sahihi Kiufupi hii zawadi itawaendea wale…

  • Nitakuwa Live Kupitia FADECO FM Leo Saa Tano Asubuhi

     Habari ya upande wa hukoGodius Rweyongeza hapa kwa mara nyingine. Leo kuanzia saa tano asubuhi mpaka saa sita mchana nitakuwa live kupitia FADECO FM. Nitazungumzia kuhusu mchango wa smartphone kwa mfanyabiashara na jinsi unavyoweza kutengeneza fedha mtandaoni. Unaweza kufuatilia kipindi kupitia 100.8 FM au mtandaoni kwa KUBONYEZA HAPA Godius Rweyongeza kutoka SONGAMBELE0755848391Morogoro-Tz

  • Kundi Maalumu Kwa Ajili Ya Uzinduzi Wa Kitabu Cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO

    Hello, nimetengeneza kundi maalumu kwa ajili ya uzinduzi wa kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO toleo la pili.Kama umeweka oda ya kitabu ingia kwenye hili kundi ili uendelee kupata updates kuhusiana na kitabu Pia kama hujaweka oda ingia kisha weka Oda.Twambie jina lako. Namba yako ya simu naUko wapi Mfano:Godius Rweyongeza 0755848391 (Morogoro mjini;…

  • Nini mchango wa smartphone kwa mfanyabiashara?

    Binafsi napenda sana maswali. Napenda maswali kwa sababu maswali ndiyo yanatufanya tukue, maswali ndiyo yameifanya dunia iwe kama ilivyo leo hii. Hii ni kutokana na dhana ya wanasayansi kutaka kujua zaidi. Watu wanajiuliza hivi kitu fulani kikifanyika kwa namna fuani itakuwaje? Hivi kweli ugonjwa fulani hauwezi kupatiwa tiba? Hivi hatuwezi kufanya utaratibu wa kwenda kwenye…

  • Jinsi Ya Kuweka Oda ya Kitabu Cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO

    Hello! Bila shaka unaendelea vyema. Kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO (hardccopy) kitatoka rasmi tarehe 20.5.2022 Hili ni toleo la pili la kitabu hiki cha kipekee. Karibu uwe miongoni mwa watu ambao watapata nakala ya kitabu hiki. Kwa wakazi wa mikoa ya Dar, Pwani na Morogoro mtafikishiwa nakala popote pale mlipo. Kama upo nje…

  • Usiweke bajeti kwenye AKILI yako.

    Kama umeanza kufanya hivyo, basi kuanzia leo iondoe bajeti hiyo maana ni kikwazo kikubwa sana. Akili yako itumie kubuni vitu vipya, itumie kufikiria mbinu mpya za kutatua matatizo, itumie kuongeza MAUZO kwenye biashara. Tafiti nyingi zimefanyika na tafiti hizi mara zote zimekuja na jibu moja kuwa watu wengi wanatumia chini asilimia kumi ya uwezo wao.…

  • Kuna Nini Kwenye Toleo La Pili La Kitabu Cha Jinsi Ya Kufikia Ndoto Zako

    Jana nilitangaza kuwa tarehe 20 Mei toleo la pili la kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO litakuwa tayari. Nakala zitafikishwa mpaka nyumbani kwako au ofisini kwako kwa wakazi mikoa ya Dar, Pwani na Morogoro. Hata hivyo, kama upo nje ya hii, mikoa, nakala zitatumwa na utazipokea vizuri tu. Nakala moja ni 20,000/- . hata…

  • Kama Unataka Mali: Maeneo Matano Unapoweza Kupata Mali Halali…

    Unalikumbuka lile shairi la kama mnataka mali mtaipata shambani? Ila shairi hili…walilisoma baba zetu, sisi tumelisoma na sasa watoto wetu wanaenda kulisoma pia. Hahah Kitu kikubwa kwenye hili shairi ni kwamba kama unataka mali utaipata shambani. Leo hii nilikuwa nafiria hivi kwamba huyu mwandishi wa hili shairi angekuwa analiandika sasa hivi, hivi kweli bado angeendelea…

  • YAH: UJIO WA TOLEO LA PILI LA KITABU CHA JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO

    Hello upande wa huko, siku ya leo nina furaha kubwa sana. na ninapenda kukujulisha kuwa nakala za kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO toleo la pili, zinaenda kuanza kupatikana kuanzia tarehe 20 Mei 2022. Kwa mara ya kwanza kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO nilikizundua mwaka 2020 mwishoni, na sasa mwaka huu 2022…

  • Unajua kwa nini mpaka sasa hivi hufanikiwi?

    Enheee! Leo bwana, nataka nikuchokonoe kidogo. halafu baada ya kuwa nimekuchokonoa nitakwambia ni kitu unapaswa kufanya ili uweze kufika kule unapotaka kufika. Au basi! Ninajua, kwamba wewe una ndoto kubwa, una ndoto za kufika mbali na ndoto za kufanya makubwa kwenye maisha yako. Si ndio. Na kwa siku nyingi sana umekuwa unapambana ili kuweza kufikia…

  • Mazoezi Ndio Kila Kitu

    Leo nimekumbuka msemo mmoja wa kilatini. Unasema repetitio est mater studiorum .Ukimaanisha repetition is the mother of study. Tukiwa o-level walimu wetu walipenda kuutumia sana kutuhamasiaha ili tusome kwa bidii na kwa kurudia mara kwa Mara kile tunachosoma. Kadiri unavyofanya mazoezi na Tena kwa marudio, ndivyo unakuwa unaelekewa kwenye ubobevu Kumbuka repetitio est mater studiorum.…

  • Hakuna mtu Ambaye Anaenda Kupiga Kazi Kwa Ajili Yako

    Ngoja nikwambie kitu, hakuna namna ambavyo wewe unaweza Kuepuka kazi katika suala zima la kufanikiwa. Kama unataka kufanikiwa sharti uwe tayari kuweka kazi itakayokufikisha kule unapotaka kufika. Usije unategemea kwamba MTU yeyote atafanya kazi kwa ajili yako. Nakumbuka siku za nyuma niliwahi kuandika Makala hapa nikasema kwamba hakuna MTU ambaye anaweza kupiga Push-Up kwa ajili…

  • Siku 30 Za Kushinda Kwa Kishindo (Juzuu 1)

    Katika moja ya semina ambazo Zig Ziglar alikuwa anatoa kuna mtu mmoja ambaye alihamaki siku moja na kumwuliza, “hivi kwa nini hizi hamasa zenu huwa hazidumu?” Huku akiwa ametulia, Zig Ziglar alijibu kwa kusema kuwa hamasa ni kama kuoga, ukioga leo unapaswa kuoga na kesho. Tena wakati mwingine ukioga asubuhi utapaswa kuoga mchana na jioni…

  • Utapata Kile Unachotaka Kama Utawasaidia Watu Kiasi Cha Kutosha

    Utapata kile unachotaka kama utawasaidia watu kiasi cha kutosha kupata kile wanachotaka-Zig Ziglar. Ili wewe kupata kile ambacho unataka maishani unapaswa kuwa tayari kuwasaidia watu kupata kile wanachotaka wao. Kadiri unavyowasaidia watu kupata kile wanachotaka, ndivyo na wewe unakuwa kwenye njia ya kupata kile unachotaka. Kwa hiyo, kazi yako kubwa unayopaswa kufanya ni kutafuta kujua…

  • Jinsi Ya Kufanyia Kazi Ndoto Zako Wazazi Wanapokuwa Wanakupinga

    Karibia kila wiki huwa naandika makala moja inayohusu ndoto na jinsi ambavyo unaweza kufiki andoto zako kubwa ulizojiwekea maishani. Kwenye makala ya jumapili ya leo ninaenda kuandika kuhusu tena kuhusu hii mada ya kipekee. Ambayo kila nikishika kalamu kuandika basi najikuta nahamasika zaidi kufanyia kazi ndoto zangu mwenyewe. Halafu eti nikishika kalamu wakati natumia kibodi…

  • Historia ya Kiswahili

     Ukisoma historia ya Kiswahili  unaona kwamba kilianza kimasihala tu. Kilianza kutumiwa maeneo ya Pwani na baadaye kikasambaa kuja bara na mpaka leo hii, kina wazungumzaji zaidi ya milioni 150. Ni lugha pekee barani afrika ambayo siyo ya kigeni ila watumiaji wengi. Ninataka kusema nini sasa hapa.Ninataka niseme kwamba, kitu chochote kikubwa huwa hakianzi kwa ukubwa wake.Mbuyu…

X