-
Hiki Ndicho Kitu Unachopaswa Kuwa Na Wasiwasi Nacho Kwenye Maisha Yako
Rafiki yangu mpendwa, salaam Bila shaka unaendelea vizuri kabbisa. Hongera kabisa kwa siku hii nyingine ya kipekee. Leo ni Jumamosi ya tarehe 16, mwezi wa tisa mwaka 2023. Ni siku bora kabisa ambayo naamini umeweza kuitimia kwa viwango vikubwa. Siku ya leo kuna kitu kimoja tu ambacho ningependa kukwambia na kitu hiki syo kingine bali…
-
Cha kufanya kama unaanzia chini kweye maisha
Rafiki mpendwa salaam, bila shaka unaendele vizuri kabisa. Hongera kwa kazi. Mimi naendelea vizuri nikiwa hapa Morogoro mji kasoro bahari. Siku ya leo nataka nikwambie kitu kimoja ambacho unapaswa kufanya kama unaanzia chini kwenye maisha. Unajua ni kitu gani hiki. Kwanza ni kuchagua kitu ambacho utafanya. Hiki ni muhimu sana, watu wengi huwa hawapati nafasi…
-
Vyanzo Vingi vya KIPATO ni kama miguu ya Meza.
Vyanzo Vingi vya KIPATO ni kama miguu ya Meza. Meza iliwa na mguu mmoja na mguu huo ukavunjika. Maana yake Meza hiyo kwishney!! Ila Meza iliwa na miguu minne, Mmoja ukivunjika. Itatetereka kidogo, ila Bado itakuwa imesimama. Kama ambavyo nimekuwa nakwambia, kama hauna vyanzo vingi vya vipato. Basi utakuwa na Vyanzo Vingi vya mahangaiko. Kuwa…
-
Tabia za kimasikini unazopaswa kuachana nazo sasa hivi.
Rafiki yangu mpendwa salaam, leo ningependa kukwambia tabia za kimasikini ambazo unapaswa kuachana nazo. Achana na tabia hizi kwa manufaa yako. Kwanza ni vitu ambavyo vinapoteza nguvu zako. Hivi ni vitu vyote ambavyo vinapoteza nguvu zako vitu kama pombe, sigara, ulevi wa aina yoyote, kula vyakula vya hovyo na mambo mengine kama hayo. Pili, ni…
-
Ukiuza vitabu vyako vyote ambavyo umewahi kununua utapata shilingi ngapi?
Leo kuna mtu nilikuwa naongea naye, akaniambia vitabu ambavyo nimewahi kununua, nikiviuza vyote naweza kujenga nyumba kubwa ya kifahari. Hiki kitu kikawa kinanitafakarisha kuhusu wewe … Hivi wewe ukiuza VITABU vyote ambavyo umewahi kununua unaweza kufanya nini? Vitabu vinakufanya uone mbali hata wewe ni mfupi? Kila mwezi jiwekee utaratibu wa kununua walau kitabu kimoja tu.…
-
Siri ya mafanikio ya kweli ni hii hapa
Usiache kufanya jambo lako kwa sababu huoni matokeo ya muda mfupi. Badala yake kaza. Endelea kupambana kwa muda mrefu Kuna watu wengi hawafanikiwi kwenye maisha kwa sababu ya kujaribu vitu vingi kwa muda mfupi na kuacha. Sikiliza chagua kitu kimojaKifanye kwa uhakikaKifanye kwa muda mrefu bila kuacha.Bobea kwenye hicho kiasi kwamba hakuna mtu ambaye anaweza…
-
Kauli Yenye Nguvu: Ni bora Ufe Ukiwa unafanya unachopenda…
Rafiki yangu mpedwa salaam, hongera sana kwa siku hiii ya leo. Siku ya leo ningependa tu kukushirikisha kauli moja ambayo unapaswa kuwa unajiambia kila siku kwenye biashara na kwenye kitu chochote kile unachofanya. Mara nyingi ukianza kufanya kazi au kitu chochote huwa wanatokea watu ambao wanakuwa na maoni ya kukushauri juu ya nini cha kufanya…
-
Kheri ya MWEZI WA SEPTEMBA
Siku zinaenda balaa, ni kama jana tu nakumbuka watu walivyokesha wakiusubiri mwaka mpya. Watu walivyokuwa na mbwembwe za mwaka mpya na mambo mapya, hivi kwenu haya mambo yapo, au ni ushamba wa huku nilipo tu! Tafiti nyingi zinaonesha kwamba watu wengi ambao huwa wanaweka malengo. Huwa wanayasahau malengo yao kufikia januari 19, je, wewe malengo…
-
Kazi inayolipa kuliko zote duniani. Jifunze kazi hii utaishi kama mfalme
Rafiki yangu wa ukweli, bila shaka unaendele vizuri, siku ya leo ningependa kuleta kwako kazi ambayo inalipa kuliko zote hapa duniani. Na kazi hii siyo nyingine bali ni kazi ya kuuza. Ni kazi ambayo mtu yeyote ambaye yuko tayari kujifunza anaweza kujifunza. Haina ukomo wa kipato. Unaweza kupata zaidi kadiri unavyouza. Ukiuza zaidi unalipwa zaidi.…
-
AKILI YA MKULIMA: mambo 12 ya kujifunza kutoka kwa mkulima unayopaswa kuyatumia kwenye maisha yako ya kila siku
Hata kama wewe siyo mkulima, hakikisha unasoma vizuri makala ya leo. MARA KWA MARA UTASIKIA watu mbalimbali wakisema kwamba ,mimi nimezaliwa kwenye familia ya wakulima. Mimi ni mtoto wa mkulima. Ila wanavyokuwa wanaishi maisha yao inakuwa ni kinyume na masomo ambayo tunajifunza kwa wakulima. Kama wewe ni mtoto wa mkulima, ni wazi kuwa kuna mengi…
-
Jinsi ya kununua ndinga yako mpya
Ndoto ya kumiliki gari ni ndoto ya vijana wengi. Siyo tu vijana na hata wazee. Lakini inawezekana hujawahi kukaa chini na kuona ni kwa namna inavyowezekana. Sasa leo nataka nikuoneshe ni kwa namna gani unaweza kufanikisha ndoto kubwa kama hii. Kabla sijakwambia ufanyeje, Ningependa ujifunze kutoka kwa Rafiki yetu Sanga. Ambaye alikuwa na ndoto ya…
-
Habari Njema Kwa Wewe Utakayehudhuria Semina
Habari njema kwako rafiki yangu ni kuwa ukifanya malipo ya semina mapema kabla ya tarehe 1.9.2023, unaenda kupewa audiobook ya kitabu cha MAAJABU YA KUWEKA AKIBA bure. Sample ya Audiobook hii hapahttps://youtu.be/On0sNI94FXA?si=0OZ_ddwBCuwMe1hz Sambamba na hilo, unaenda kupata mafunzo kamili ya semina.Utapata ufuatiliaji wa karibu kwa miezi tisa baada ya semina.Utaungana na wengine ambao wanafanyia kazi…
-
Jinsi Ya Kufikia Ndoto Kubwa Hatua Kwa Hatua
Pata picha una ndoto ya kujenga hoteli kubwa ya kifahari…Yenye nyota saba. Mhh kama unaguna au kujiuliza kama hoteli ya aina hiyo ipo au haipo…Ukweli mi kwamba ipo moja huko Uarabuni panaitwa Burj Al Arab iko Dubai. Sasa kumbe moja tayari ipo, basi hiki ni kiashiria kingine kuwa na wewe unaweza kujenga hoteli yako ya…
-
Ujiajiri Au Uajiriwe? Ukweli Mchungu….
Suala la kuajiriwa na kujiajiri limekuwa linapata mjadala mkubwa sehemu mbalimbali. Kwenye vyombo Vya habari, Kwa wahamasishaji, wanasiasa, viongozi wa Serikali ma dini pia. Hata hivyo wengi ambao Huwa wanahamasisha kujiajiri, wenyewe hawajawahi kujiajiri😊😊. Hiki kitu a uta wa siutata Kwa wale wanaofanya KAZI huu ushauri. Yaani, wanaufanyia KAZI, lakini wanaokwama wanakuwa hawana mtu sahihi…
-
Uwekezaji Kwenye Hisa vs Uwekezaji Kwenye Maeneo Mengine
Ukilinganisha uwekezaji kwenye hisa na vipande na uwekezaji maeneo mengine kama ardhi, Vito vya thamani….n.k ukweli ni kwamba, uwekezaji kwenye hisa ni rahisi Kwa MTU yeyote kuanza. Unaweza hata kuanza kumiliki kampuni Kwa mtaji mdogo.Unaweza kuwekeza kidogo kidogo. Ili ufanye uwekezaji kwenye nyumba, unahitaji mamilioni ya pesa ila kuwekeza kwenye hisa, unaweza KUANZA na hisa…
-
Mara moja siyo mbaya
Mara kwa mara utasikia watu wanasema mara moja siyo mbaya. Yaani, kwamba kufanya jambo mara moja halafu ukaacha siyo kitu kibaya. Kwenye ulimwengu wa mafanikio, mara moja ni mbaya sana. Unahitaji ufanye vitu kwa mwendelezo na mara kwa mara, bila kuacha kwa kuda mrefu ili upate matokeo. Kama ni akiba unapaswa kuweka akiba kila siku…
-
USISUBIRI mpaka uwe na Kila kitu Ili uanze.
Anza na kile ulichonacho. Fanya unachoweza Sasa. Ili ufanikishe MAKUBWA. Miaka kumi ijayo, utajishukuru Kwa kuchukua HATUA na kufanya kitu kuliko kukaa bila kufanya kitu. Ukianza kuweka akiba Leo. Miaka kumi ijayo, utajishukuru Sana Kwa HATUA uliyochukua Leo hii. Kumbuka. Muda mzuri WA kupanda mti ulikuwa ni miaka kumi iliyopita, ila muda mwingine mzuri zaidi…
-
TAARIFA mbili Muhimu kuhusu semina ya KUONGEZA KIPATO MARA MBILI
Rafiki yangu mpendwa, salaam. Hongera kwa kazi. Leo nina taarifa mbili muhimu sana kuhusu semina ya KUONGEZA KIPATO CHAKO MARA 2. Taarifa ya kwanza ni kuhusu watu ambao hawatalipia semina hii. Ndio, kuna ambao hawatalipia semina hii, watahudhuria bure. Na taaarifa ya pili ni vigezo vya kushiriki. Maana wengi walikuwa wanafikiri kila mmoja anaweza kushiriki,…
-
Tumemaliza maonesho ya nanenane. Kitu kimoja ambacho nimeongea na kila mshiriki wa maonesho haya
Kuanzia Tarehe 1 Agosti mpaka tarehe 8 tumepata nafasi ya kushiriki kwenye maonesho ya nanenane. Hii ni mara yetu ya pili kushiriki kwenye haya maonesho makubwa tukiendelea kutoa elimu na kuwahahamasisha watu kujifunza na kusoma vitabu. Mwaka huu kama kawaida, tumepata washiriki wengi, ambao wametembelea banda letu. Umekuwa ni mwaka mwingine bora sana. Kutokana na…
-
Hii nidyo sababu kuu kwa nini unapaswa kuhudhuria semina ya kuongeza kipato chako mara mbili mwaka huu
Juzi nilitangaza semina yetu ya mwisho kwa mwaka huu a 2023. Semina hii ambayo inaenda kufanyika tarehe 24-30, inaenda kuwa ni moja ya semina ya kipekee sna ndani ya mwaka huu. Inaenda kujenga msingi imara wa kujenga utajiri wa kifedha kwa washiriki wake. Ni semina ambayo inaenda kuleta mapinduzi makubwa. Kiukweli ni semina ambayo haupaswi…