Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Unataka kufanya vitu vya tofauti? Siri hii hapa

    Watu wanaofanya vitu vya tofauti siyo kwamba ni watu ambao wameshuka kutoka mbinguni. Siyo watu ambao wana vitu vya kipekee kukuzidi wewe. Siyo watu ambao wana elimu kubwa kulliko wewe. Isipokuwa ni kuwa wana sifa moja kubwa ambayo inawatofautisha wao na wewe. Na sifa hii siyo nyingine, bali ni sifa ya kuamua kufanya jambo na […]

  • Siri itakayokuwezesha wewe kufanya makubwa

    Rafiki yangu wa ukweli, sina shaka wiki yako umeianza vizui sana. Hongera sana kwa kazi. Siku ya leo ningependa tu kukwambia kuwa kama unataka kufanya makubwa kuna vitu muhimu sana ambavyo unapaswa kuzingatia nakuhakikisha kwamba umevifuata. Vitu hivi ni pamoja na na wewe kufanya majukumu makubwa kwanza asubuhi kabla hujafanya kitu kingine. Kama una majukumu […]

  • usipofanyia kazi ndoto zako kuna mtu atakuajiri ili ufanyie kazi ndoto zake

    Rafiki yangu, watoto wadogo huwa wanaongoza kwa kuwa na ndoto kubwa sana. Ukiongea na mtoto yeyote yule mdogo atakwambia ndoto zake kubwa, tena kwa kujiamini. Ongea na MTU mzima sasa. UNAWEZA kutamani kuzaba baadhi ya watu vibao. Watu walewale ambao walikuwa na ndoto kubwa utotoni, kwa sasa hawana tena hizo ndoto kubwa. Ndoto ileile waliyokuwa […]

  • Hivi ndivyo unapaswa kugawanya muda wako Kama una ndoto kubwa

    Rafiki yangu mpambanaji, bila shaka unaendelea vizuri kabisa. Hongera sana kwa hilo. Siku ya leo ningependa kuongea na wewe machache  rafiki yangu mwenye ndoto kubwa. Ukweli ni kuwa inachukua muda kufikia mafanikio makubwa: unapaswa kuyapambania mafanikio Yako makubwa Kama vile hakuna Kesho. Muda wako wewe mpambanaji unapaswa kuwa umegawanywa sehemu za muhimu tu. Muda wa […]

  • Ufanyeje pale bidii yako inapotumika kama mtaji kwa watu wengine

    Siku moja kuna rafiki yangu aliniuliza swali, alitaka kujua kuwa unafanyaje pale ambapo unakuwa na bidii na watu wanajua kuwa una bidii ila wanataka wakutumie. Leo ningependa kujibu swali hili kwako wewe ambaye unaona kwamba una bidii na watu wanaitumia hovyo. Kwanza ningependa kwa kuanza kusema kwamba unapaswa kuwa na bidii kwenye kazi zako. hakikisha […]

  • Karibu Kwenye Semina Ya Kufanya Makubwa Mwaka 2023: Fanikisha Ndani Ya Miezi Sita Kile Ambacho Wengine Huwa Wanafanya Kwa Mwaka Mzima

    Rafiki Yangu mpendwa, bila shaka unaendelea vizuri kabisa. Moja ya jambo la msingi kabisa ambalo unahitaji kuhakikisha kwamba umelifanya kwenye maisha yako ni kujenga utaratibu wakujifunza. Kujifunza kunaweza kuwa kupitia kusoma vitabu, kusikiliza mafunzo ya sauti au mafunzo ya vitendo pamoja na semina. Kwa kulitambua hili, mwaka huu tutakuwa na semina ya ana kwa ana […]

  • Jinsi Ya Kujenga Mafanikio Makubwa Hata Kama Hauna Kitu

    Hapo zamani za kale, ili kujenga utajiri ulipaswa kuwa na ardhi kubwa, ng’ombe na vitu vingine vinavyoendana na hivyo. Ulipokuwa na vitu vya aina hiyo, hapo sasa ndipo watu walikuwa wanasema kwamba mtu fulani ni tajiri. Ila leo hii mambo yamebadilika. Baadaye ilikuwa inaaminika kwamba ili kujenga utajiri unapaswa kuwa walau na konekisheni na ndugu […]

  • Kitu muhimu ambacho kila mtu anapswa kukifhamu

    Rafiki yangu, najua kuna vitu vingi ambavyo unahitaji kufahamu. Ila siyo kila kitu unachokifahamu kina manufaa chanya kwako. kwa mfano unaweza kufahamu kuwa kuna ajali fulani sehemu fulani, ila siyo kwamba hiyo ajali ina manufaa yoyote kwako. au kwa wewe kufahamu kuwa kuna vita sehemu fulani, hilo kwa kupande wako siyo kwamba linakuwa na matokeo […]

  • Wewe unapenda kitu gani?

    Kati ya vitu vyote, nilipenda vitabu zaidi– Nikola Tesla Wewe unapenda kitu gani? Nadhani hili ni swali ambalo ukiuliza kwa vijana kama sisi wa siku hizi utapata majibu ya ajabu Sana. Kama unaweza kuvumilia *pressure,* Basi uliza hilo swali. Ila Kama una *pressure* ya haraka basi usiliuze labda Kama umechoka kula ugali. Hahaha Nakwambia hivyo, […]

  • Hiki kitu kimoja tu kinaweza kukufanya ulipwe zaidi ya unavyolipwa Sasa

    Rafiki yangu, najua Mara kwa mara huwa nakwambia njia mbalimbali za kukusaidia KUONGEZA kipato chako. Nafanya hivyo kwa sababu nakupenda. Najua wazi kuwa haupaswi kutegemea chanzo kimoja cha kipato. Lakini pia najua wazi kuwa kama chanzo chako kimoja ni ajira Basi maana yake unapaswa kuhakikisha kwamba umepanbana na kuongeza vingie zaidi zaidi ili vitakavyokuingizia kipato […]

  • Hiki kitu kimoja hakiwezi kukupa mafanikio unayotaka

    Watu wengi wanapenda kupata mafanikio kiasi kwamba ukiingia kwenye chumba Chenye watu kumi na Kuuliza wangapi wanapenda kufanikiwa? Utashangaaa kuona mikono zaidi ya kumi ikiwa imenyooshwa juu. Kwa Nini? Kwa sababu baadhi ya watu wanapenda Sana mafanikio kiasi kwamba wanakuwa tayari kunyoosha mikono miwili juu. Japo watu wengi wanapenda mafanikio, Ni wachache Sana ambao wanakuwa […]

  • Vitu Saba vya KUZINGATIA unapokuwa na miadi na watu

    Rafiki yangu wa ukweli, siku ya leo Ningependa nikwambie vitu saba unavyopaswa KUZINGATIA pale unapokuwa na miadi na watu. Kwenye ulimwengu wa Biashara, miadi Ni jambo ambalo haliepukiki. Utahitaji kukutana na Wateja. Utahitaji kukutana na wasambazaji, utahitaji kukutana na washirika, utahitaji kukutana na wafanyakazi na wengineo wengi… Sasa yafuatayo ni mambo saba ya kuzingatia Kwanza. […]

  • Kwa nini vijana wengi hawawekezi kwenye soko la Hisa, hatifungani na vipande

    Mwishoni mwa mwaka Jana nilipata kuhudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa mfuko wa umoja kwa njia ya mtandao. Mkutano huu ulikuwa unafanyika kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere UBUNGO lakini pia ulikuwa ulifanyika kwa njia ya mtandao. Kitu kikubwa kilichokuwa kinaongelewa kwenye huu mkutano ilikuwa ni ripoti ya mwaka 2021/2022 ya mfuko wa umoja. Baada ya ripoti […]

  • KUWA IMARA

    Tunaishi katika dunia ambayo haipendi vitu ambavyo siyo imara. Na hili jambo la KUWA imara halijaanza leo. Limekuwepo kwa siku nyingi sana. Vitu ambavyo vimekuwa imara kwa miaka mingi ya nyuma, ndivyo ambavyo viliendelea kuishi, huku vile ambavyo siyo imara vikidhoofu na kufa. Watu wanyonge, mimea minyonge, wanyama wanyonge havina nafasi kubwa ya kuishi Kama […]

  • Maisha Yako Ni wajibu wako

    Maisha Yako Ni wajibu wako, usisubiri MTU aje akusaidie wewe kufanya vitu ambavyo wewe mwenyewe unapaswa kufanya. Ebu chukulia vitu vya kawaida tu Kama KUTUNZA mudaKuweka akibaKuamka mapemaKufanya Kazi kwa bidiiKusoma vitabu na kufanyia kazi Yale unayojifunza. Je, hivi unahitaji mtu akusaidie kuvifanya? Na hivi unalalamika kwamba serikali haijavifanya kwa niaba yako? Hivi kweli uko […]

  • Kitu Chenye Thamani Unachopaswa Kuwa Nacho Kuanzia Leo Hii

    Rafiki yangu ili uweze kuishi vizuri kwenye dunia ya sasa. Ni vizuri sana ukihakikisha kwamba una ujuzi wa kufanya jambo au kitu fulani. Hiki ni kitu ambacho wewe mwenyewe unaweza kujenga. Ujuzi wako unaweza kukutambulisha popote na kwa yeyote. Ujuzi wako unaweza kukulipa. Kama hauna ujuzi ni muda wako sasa wa kuhakikisha kwamba unaanza kujenga […]

  • Kama Unatumia Nguvu Kubwa Kujitambulisha…

    Kama unatumia nguvu kubwa  kujitambulisha jua bado unapaswa kuweka nguvu kubwa kwenye kufanya kazi kwa bidii pia. Unajua kwa nini? Kwa sababu watu hawakujui. Pata picha Sasa hivi umepigiwa simu naSamia Suluhu HassanVile tu akijitambulisha kwako, hutahitaji KUANZA KUMWULIZA maswali mawili au matatu. Utakachofanya utaanza kumsikiliza anataka kusemaje? Lakinj he, vipi wewe kwa upande wako. […]

  • Tofauti Kati ya wale wanaofanya makubwa na wale wanaofanya vitu vya kawaida

    Kwenye kitabu cha 10X Rule Grant Cardone,  anasema kwamba tofauti pekee Kati ya wale watu wanaofanya makubwa na wale wanaofanya mambo ya kawaida imelala kwwnye  kanuni ya mara kumi zaidi. Kadiri ya kanuni hii Ni kwamba kama unataka kupata matokeo makubwa zaidi ya unavyopata sasa hivi, sharti uwe tayari kufanya vitu mara kumi zaidi ya […]

  • Hii Ni Sanaa Unayopaswa Kuitumia Kila Siku Kwenye Maisha Yako

    Rafiki yangu, nipe dakika moja tu nikufundishe Sanaa unayopaswa kuitumia kwenye maisha Yako kuanzia leo hii. Wakati tunasoma Sekondari tulikuwa tunasikia stori kuwa masomo ya sayansi yanalipa sana. Hivyo, NGUVU kubwa tukaiweka huko Nilipoingia chuoni, ni kozi ya horticulture. Hapa kitu Cha kwanza kabisa unachofundishwa, unaambiwa kuwa horticulture is an art and sayansi. Halafu kumbe […]

  • Kama Kuna Kitu Unataka Kufanya Kifanye

    Badala ya kukaa na kusubiri MTU au watu fulani waje wakusaidie kufanya na kukamilisha kitu au jambo fulani, nakushauri kwamba Kama Kuna Kitu unataka kufanya. Kifanye. Ukiendelea kumsubiri mtu au watu fulani waje wakusaidie kukifanya ukweli Ni kwamba utasubiri sana na hawa watu unaweza usije kuwaona maisha yako yote. Kwenye hii dunia kuna watu wa […]