
Ukilinganisha uwekezaji kwenye hisa na vipande na uwekezaji maeneo mengine kama ardhi, Vito vya thamani….n.k ukweli ni kwamba, uwekezaji kwenye hisa ni rahisi Kwa MTU yeyote kuanza.
Unaweza hata kuanza kumiliki kampuni Kwa mtaji mdogo.
Unaweza kuwekeza kidogo kidogo.
Ili ufanye uwekezaji kwenye nyumba, unahitaji mamilioni ya pesa ila kuwekeza kwenye hisa, unaweza KUANZA na hisa kumi tu,
Swali linabaki kuwa je, hisa kumi ni sawa na shilingi ngapi?
Nikiiangalia kwenye soko la HISA, bei za Jana zinaonesha kuwa hisa zilizouzwa Kwa bei kubwa sana ni hisa za TCC ambazo bei yake ni 16,200
Na hisa za bei ya chini ni za TTP ambazo bei yake ni 120
Hisa za kampuni nyingine zipo katikati hapa
Mfano hizo hisa 10 za TCC unaweza kuzimilili Kwa 162,000. NA hisa kumi za TTP ni 1200
Lakini huwezi kumiliki nyumba kiasi hichohicho.
Hivyohivyo kwenye vipande. Kwa Sasa mfuko Wenye vipande vya bei ya juu ni mfuko wa UMOJA ambapo kipande kimoja bei yake ni 937.7959
Na kipande chenye bei ya chini ni kipande Cha mfuko wa FAIDA. Ambapo kipande kimoja bei yake ni 106.3648
Mifuko mingine bei zake zipo katikati hapo.
Na kwenye mifuko hiyo mwili niliyoongelea hapo, unaweza KUANZA kuwekeza kwenye hiyo mifuko Kwa elfu Kumi TU.
Ili uwekeze kwenye soko la hisa kwa mafanikio unapaswa kuwa na maarifa sahihi.
Anza Kwa kununua kitabu HIki Cha MAAJABU GA KUWEKEZA KWENYE HISA, HATIFUNGANI na VIPANDE.
Gharama yake ni 20,000/- tu kwa hardcopy.
Na 10,000 kwa softcocpy
Kupata kitabu hiki lipia. 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA
Utatumiwa kitabu hiki tu ounde baada ya kufanya malipo.