Audiobook vs Ebook


Audiobook ni kitabu kimesomwa kwa sauti (kitabu kinaweza kuwa kimechapwa au hakijapachwa, ila kikisomwa kwa sauti kinakuwa audiobook)

Audiobook.ni neno la kiingereza ambalo linaundwa maneno mawili.
Neno la kwanza ni
audio=yaani sauti

Na neno la pili ni book yaani kitabu.

Kwa lugha nyingine tunaweza kusema audiobook ni KITABU SAUTI. Mfano wa kitabu sauti hiki hapa

Kwa upande mwingine
EBOOK ni kitabu cha kimtandao. Yaani, kitabu unachoweza kusoma kwa kutumia simu, kompyuta au tablet.

Wengine hukiita kitabu hiki softcopy au kwa kiswahili nakala laini au nakala tepe.

Ebook ni kifupisho cha ELECTONIC BOOK

Ambapo
Electronic maana yake ni ya kidigitali au ya kimtandao
Na book ni kitabu.

Hivyo ebook ni kitabu cha kimtandao au kidigitali😊😊

Mfano, unaweza kupata kitabu cha kidigitali hapa

Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza.

Baadhi ya makala za Godius Rweyongeza zimechapwa kwenye magazeti makubwa nchini Tanzania likiwemo gazeti la MWANANCHI.

Kupata vitabu vya Godius Rweyongeza unaweza kwa kuwasiliana na 0755848391/ +255755848391 kwa simu au whatsap.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X