Omba Utapewa


MOJA YA ujuzi ambao una-paswa kuwa nao ni ujuzi wa kuomba. Yaani, kuomab kitu unachotaka kutoka kwa watu wenye nacho. Hiki ni kitu ambacho watu waliofanya makubwa huwa wanafanya.

Wanaofanya makubwa siyo kwamba wanaweza kufanya kila kitu hapa duniani. Hapana, wanaweza kufanya vitu vichache, ila sasa kwa vile vitu ambavyo hawawezi, basi wanaomba wengine waweze kuwapa msaada. Hiki ni kitu ambacho nimeona nikwambie na wewe rafiki yangu. Mara ukiwa na jambo, omba


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X