Hiki ni kitu kitakachobadili maisha yako yote kuanzia leo……


Mwaka Jana kwenye maonesho ya nanenane nikikutana na Dada Mmoja. Huyu dada alikuwa akipanga Kwa miaka mingi kuandika kitabu ila akawa haandiki.

Sasa Leo hii alikuwa na swali Moja tu kwangu

“Godius”, alisema. “Hivi Nina shida Gani? Kwa nini kila mwaka napanga kuandika ila sijawahi kuandika? “Nifanyeje ili niweze kuanza kuandika” Aliendelea

Nilikaa naye na kuongea naye, leo hii tayari ameandika kitabu Cha kwanza kinekamilika. Sasa hivi anamalizia kuandika kitabu Cha pili.

Kilichomkuta hugu dada kinawakuta watu wengi pia.

Ebu Kwa mfano pata picha ni mara ngapi umekuwa unataka kuanza mazoezi.
Ni mara ngapi umepanga kuweka akiba lakini hujafanya hivyo. Au ni mara ngapi umehamasika kujifunza na kusoma kitabu lakini hukufanya hivyo?.

Hivi unajua hii tabia imekugharimu kiasi gani? Yaani, kutokuchukua kwako HATUA unajua kumekusababishia Nini?.
Ni wazi kuwa laiti kama ungekuwa umeanzisha biashara yako ungekuwa tayari unafanya kile unachopenda. Au kama ungekuwa umeamua Kwa dhati kuandika basi ungekuwa umeshaandika kitabu chako.

Ni wazi kuwa ungekuwa umeweza kuweka akiba pia, maana tangu mwaka ule ulipopatavkazi, mpaka Leo hii usingekuwa unahangaika, tayari ungekuwa na akiba yako ya kutosha tu.

Lakini Leo hii unajionaje?

Tukirudi kwa dada yetu tukiyeanza naye hapo mwanzo. Alikuja kugundua kuwa kuandika kitabu siyo kitu kigumu sana baada ya kuwa amechukua HATUA kama nilivyokuwa nimewelekeza.

Unaweza kuangalia picha hii hapa chini kuona anachosema yeye mwenyewe Kwa maneno yake.

Unajua nilifanyaje mpaka huyu dada akaweza kufanya haya yote.
Nilimweleza vitu viwkubwa.

1. Kwanza nilimweleza NGUVU YA KUCHUKUA HATUA KWANZA. Na nikamwonesha kwamba anapaswa kuweka kitabu chake kwenye uhalisia. Kuhakikisha kinakamilika.

2. Lakini sikuishia hapo, nilimpa pia mwongozo wa kitabu kinachoitwa JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU.

Hivi ni vitu viwili ambavyo nataka na wewe upate siku ya Leo.

Chukua HATUA Leo hii upate
Kitabu Cha NGUVU YA KUCHUKUA HATUA YA KUCHUKUA chenye mwongozo kamili wa kukusaidia wewe kuanzia kufanyia KAZI kitu chochote ambacho umekuwa unatamani kufanya.

Mtu yeyote ambaye amekuwa anakwama kuchukua HATUA ya kwanza. Anaweza kuchukua HATUA ya kwanza baada ya kusoma hiki kitabu.

Mtu yeyote ambaye amekuwa akiwaza kuanzisha biashara, ataweza kuanzisha biashara yake bila shida yoyote mara tu baada ya kusoma hiki kitabu.

Mtu yeyote ambaye amekuwa anakwama kuweka akiba, ataanza kuweka akiba mara baada ya kuwa ameanza kusoma kitabu hiki Cha NGUVU YA KUCHUKUA HATUA YA KWANZA.

Kama umekuwa unapanga mipango yako ila unashindwa kuifanyia KAZI suluhisho hiki ni kitabu.

Na sasa upo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi yatakayobadili maisha yako. Nafasi ya wewe kuanza kufanyia KAZI vile vitu ambavyo umekuwa ukitamani kufanya au kuendelea na maisha yako ya kawaida.

Kama utaamua kuendelea na maisha yako ya siku zote maana yake utaendelea kupata matokeo yaleyale ambayo umekuwa unapata mara zote na siku zote….

*Lakini kama unataka kitu Cha tofauti kitokee kwenye maisha yako. Kama unataka kubadili mwelekeo wa maisha yako, utapaswa kufanya kitu Cha tofauti fanya Uamuzi wa tofauti na chukua HATUA ya kwanza Sasa
Na HATUA hii ni kulipia ili kupata ebook ya kitabu Cha NGUVU YA KUCHUKUA HATUA YA KWANZA.
Lipia Sasa hivi ili uweze kupata kitabu chako.

Gharama ya kitabu ni 10,000/- ila Kwa ofa ya Eid unakipata Kwa 7,000/- tu.

Aidha, ktabu Cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU kinapatikana Kwa 10,000/-

Ila kama utalipia vitabu vyote viwili Kwa Leo utavipata Kwa 15,000)- tu.

Sikikiza, chukua HATUA Sasa hivi.
Lipia kitabu hiki Kwa 0684408755 Jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

Kwa kusoma vitabu hivi nakuhakikishoa kitu kimoja. Zile ndoto zako ambazo umekuwa nazo Kwa siku Sasa. Yaani, Ile ndoto yako ya kuanzisha biashara itatimia.
Ndoto yako ya kuandika itatimia.
Ndoto yako ya ndoto ya kuweka akiba na kujenga utajiri itatimia.

Nakuhakikishia kitu kimoja tu baada ya kusoma kitabu hiki. KUCHUKUA HATUA YA KWANZA NA KUANZA. Na siyo tu kwamba utachukua HATUA ya kwanza. Bali utakuwa na uwezo wa kukamikisha kile ukichoanza bila shida yoyote.

Kwa kusema hivi basi fanya kitu kimoja. Lipia 7,000/- kitabu Cha NGUVU YA KUCHUKUA HATUA YA KWANZA Leo hii.

Au lipia 15,000/- upate vitabu viwili. Kitabu Cha NGUVU YA KUCHUKUA HATUA YA KWANZA pamoja na JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU

Badala ya 20,000/- jumla utalipia 15,000/- tu.

Malipo yote yafanyike Kwa 0684408755 Jina ni GODIUS RWEYONGEZA

Fanya hivyo Sasa hivi.

Ni Mimi Godius Rweyongeza
0755848391
Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X