Zifuatazo ni mada 15 utakazojifunza kwenye semina ya Kufungua mwaka 2023!


Wahenga wanasema hayawi hayawi, Sasa yamekuwa. Rafiki yangu wa ukweli, kwa siku sasa nimekuwa nikikwambia juu ya habari Semina ya Kufungua mwaka 2023. Najua umekuwa unajiuliza hivi hii semina itafanyika kweli? Jibu langu Ni kwamba lazima semina ifanyike bila kukwama. Maana mwaka 2023 haturembi mwandiko

Semina hii itaanza tarehe 15.1.2023 na itadumu mpaka mwezi wa Pili mwanzoni. Gharama ya hii semina Ni 15,000/-. Gharama ya Semina inalipwa kwa namba 0755848391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

Lengo la hii semina Ni kwamba ujifunze njia za uhakika zitakazokuwezesha wewe ulipwe walau mara mbili zaidi mwaka 2023! Na zifuatazo ni mada utakazojifunza

Tarehe 14 Utangulizi wa Semina Mambo Muhimu ya Kuzingatia.
Mada: Nini maana ya THAMANI BINAFSI NA JINSI YA KUJUA THAMANI YAKO!

Tarehe 15: JINSI YA KUWEKA MALENGO, KUYAFANYIA KAZI NA KUYATIMIZA 2023: JINSI MALENGO YANAVYOWEZA KUONGEZA THAMANI YAKO

Tarehe 16: JINSI UNAVYOWEZA KUWA NA KITU AMBACHO HAKUNA MTU ANAWEZA KUKIFANYA. NA KWA NINI NI MUHIMU KWENYE ULIMWENGU WA LEO WA KOMPYUTA, INTANETI NA ROBOTI

Tarehe 17: AINA TATU ZA UJUZI UNAOUHITAJI ILI KUONGEZA THAMANI YAKO 2023 ILI KULA MEMA YA NCHI!

Tarehe 18: KWA NINI UNAHITAJI KUACHA MAZOEA NA KUFANYA KAZI ZAIDI YA UNAVYOLIPWA. NA MATOKEO GANI UNAPASWA KUTEGEMEA

Tarehe 19: NGUVU YA KUFANYA MAZOEZI + NGUVU YA SAA ELFU KUMI

Tarehe 20: JINSI UBUNIFU UNAVYOWEZA KUKUONGEZEA THAMANI YAKO BINAFSI NA KUKUINUA KWENYE BIASHARA.

Tarehe 21: JINSI YA KUTENGENEZA MSHAHARA WAKO MWENYEWE (Njia 10 zilizothubitishwa)

Tarehe 22: MWAKA 2023 USISHINDANE KWA BEI LABDA KAMA WEWE NI ROCKEFELLER! MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI KUJITOFAUTISHA

Tarehe 23: UNAHITAJI KUWAHUDUMIA WATU WENGI ZAIDI: JINSI YA KUFANYA HIVYO 2023……

Tarehe 24: JINSI YA KUSIMAMIA UKICHOPANGA NA UNACHOSEMA 2023

Tarehe 25: VITU VITAKAVYOKUFANYA UHESHIMIKE 2023

Tarehe 26: HUHITAJI KUWA NA PLAN B 2023 (SABABU 15 ZILIZOTHUBITISHWA)

Tarehe 27: KUWA ORIGINAL 2023

Tarehe 28: MUDA, MALI YENYE THAMANI: JINSI KUTUNZA MUDA WAKO 2023

Tarehe 29: UNAHITAJI KUWA NA VYANZO VINGI VYA KIPATO

Tarehe 30: JINSI YA KUONGEZA KUJIAMINI KWAKO na MATOKEO YAKE KWENYE KUONGEZA THAMANI YAKO BINAFSI

Huo ndio mkeka wetu wa mwaka 2023! Haturembi mwandiko! Njoo ujifunze JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO mwaka 2023! Nakuhakikishia utakayojifunza ukiyafanyia kazi, yataongeza kipato chako mwaka 2023 walau mara mbili. Na hiki Ni kiwango Cha chini. Watu watakaohudhuria hii semina Nina hakika wataupiga mwingi Sana.

Lakini siishii hapo. Baada ya semina, nitakupa audio, yenye mafunzo yoote ili uweze kuisikiliza kwa mwaka mzima utakaofuata.

Mwaka 2023! Haturembi mwandiko!
Kama na wewe hutaki kuremba mwandiko, basi njoo ujiunge na hii semina. Lipia 15,000/- yako Sasa kwa namba ya simu 0755748391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

Karibu sana

Mwaka 2023! Haturembi mwandiko!


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X