Ushauri Huu Haufanyi Kazi Kwenye Uwekezaji


Mara kwa mara utasikia watu wanakwambia Kuwa unapaswa kuanza kwanza, mambo mengine utayajua wakati unaendelea na safari.

Hicho kitu kinafanya kazi vizuri sana na nimekuwa nikikitumia kwa siku nyingi . Ila Sasa siku ya leo ningependa nikuongezee ushauri muhimu hasa kwa upande wa uwekezaji.

Kwenye uwekezaji Ni muhimu kwako kufanya utafiti wa kina Kabla hujaamua Kuwa utawekeza kwanza na mengine utajua mbele ya safari.

Utafiti Ni muhimu Sana kwenye suala zima la uwekezaji. Ni muhimu ufanye utafiti na kuhakikisha Kuwa umejiridhisha na uwekezaji unaoufanya.

Kila la kheri.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X