SEMINA YA KUFUNGUA MWAKA: Karibu kwenye Semina ya kufungua mwaka 2023


Kila mwanzo mwa mwaka na katikati mwa mwaka huwa Kuna semina ambayo huwa naiendesha.

Mwakani wakati wa kufungua  mwaka mpya tunatarajia kuwa na semina ya kufungua mwaka ambayo itafanyika kuanzia tarehe 15.

Na itadumu kwa siku 15 mfululizo. Semina hii ya kipekee ambayo itafanyika kwa njia ya mtandao, inalenga kukupa maelezo ya kina yatakayokusaidia kuuanza mwaka mpya kwa mtazamo sahihi na kuuweza kuufanikisha kwa viwango vikubwa sana. Semina hii inaitwa JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO 2023.
Kwenye Semina hii utajifunza Mambo
1. Namna ya kuongeza thamani yako
2. Namna ya kuongeza kipato chako mara mbili mpaka mara kumi zaidi
3. Njia za kuweka malengo na kuyafanyia kazi kwa usahihi ndani ya mwaka 2023.
3. Nguvu ya vitu vidogo kwenye kuongeza thamani yako binafsi na mengine mengi

Hii Ni semina ya siku 15 mfululizo ambayo imeshiba mambo ya msingi sana yanayokufaa wewe na yatakayokusaidia wewe kuuanza mwaka kwa usahihi na kupiga hatua na kufika mbali.

Katika siku hizi 15 utapata masomo 15 yaliyoandaliwa kwa kina na ambayo yatakusaidia wewe kuanza KUONGEZA THAMANI YAKO ndani ya mwaka 2022.

Ni matarajio yangu kuwa baadaa ya semina hii, utakuwa na mbinu za kukusaidia wewe kuongeza thamani yako binafsi na kipato chako walau Mara mbili zaidi

Hakikisha kwamba haukosi Semina hii, ya kipekee sana

Semina itafanyika lini?
Itaanza tarehe 15 Januari na itadumu kwa siku 15

Semina itafanyika wapi?
Semina itafanyika mtandaoni (WhatsApp) kwenye kundi maalumu la WhatsApp.

Je, Kuna ada ya kujiunga na Semina.
Ndiyo ada ipo. Ada ya semina ni 15,000/- tu. Kwa kila mshiriki kwa siku zote za semina.
Mwisho wa kulipia ni tarehe 10 Januari.

Njoo uuanze mwaka wako kwa kiusahihi na kwa kupata mwongozo utakaokusaidia kuufanyia kazi mwaka mpya kutokea kwenye nafasi nzuri.

Kuthibitisha ushiriki wako. Tuma malipo yako kwenye Namba ya simu 0755848391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

Karibu sana

Whatsap group la semina: https://chat.whatsapp.com/FbzmwEVkObKIuqeR4pIZmu

Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza
Unaweza kusoma makala na mafunzo yake zaidi kwenye blog yake ya SONGAMBELE (www.songambele.co.tz)


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X