Maisha ndiyo hayahaya rafiki yangu


KIPAJI NI DHAHABU
Rafiki yangu, nimeandika kitabu. Kinaitwa KIPAJI NI DHAHABU. Ili kupata kitabu hiki, wasialiana na mi kwa 0755848391 sasa

Rafiki yangu wa ukweli, moja ya kitu ambacho watu huwa wanafanya kwenye maisha yao ni kusubiri kila kitu kiwe sawa ili waweze kufanyia kazi malengo na ndoto zao. Ila ninachotaka kukwambia rafiki yangu ni kwamba, hakuna hata siku moja ambayo kila kitu kitakaa sawa kwa ajili ya kukusubiri wewe ufanyie kazi malengo yako. Maisha ni haya haya, hivyo, unachopaswa kufanyia malengo na ndoto zako sasa hivi katika hali hii hii unayopitia. Ukweli ni kwamba rafiki yangu ukiendelea kusubiri kila kitu kikae sawa, hiyo siku haitakuja kufika.

Fanyia kazi malengo yako katika hali hiyohiyo.

Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza.

Baadhi ya makala za Godius Rweyongeza zimechapwa kwenye magazeti makubwa nchini Tanzania likiwemo gazeti la MWANANCHI.

Kupata vitabu vya Godius Rweyongeza unaweza kwa kuwasiliana na 0755848391/ +255755848391 kwa simu au whatsap.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X