Usipokata tamaa…


Mwisho wa siku usipokata tamaa, ukiendelea kuweka juhudi na kujituma bila kurudi nyuma, matokeo utayaona.

Kwa hiyo ujumbe wangu kwako siku ya leo Ni kuwa endelea kuweka juhudi zaidi kwenye Kazi. Yajayo yanafurahisha.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X