Leo ni siku ya waandishi duniani: Mambo mawii unayopaswa kufahamu


Habari ya siku ya hii ya kipekee sana rafiki yangu. leo ni siku ya waandishi duniani. Mimi ni kiwa mmoja wa waandishi, hii siku inanihusu sana. lakini pia inakusu wewe, maana hakuna mwandishi bila msomaji. Hivyo, siku ya leo ni siku yetu sote. Kwa hiyo, nitakuwa sijakosea kusema kwamba kheri ya siku ya waandishi kwako!

Sasa kwenye siku hii ya waandishi kuna mambo yafuatayo ambayo ningependa uweze kuyafahamu.

Kwanza, ni kuwa tumia saa chache zilizobaki, kuhakikisha kuwa unaandika ujumbe mfupi kwa mwandishi umpendaye. Mtumie ujumbe wa kumpongeza ili kumtia moyo kwa kazi yake nzuri anayofanya.

Pili, kujinyakulia kitabu cha jinsi ya kuwa mwandishi mbobevu. Mwakani ningependa kuona kitabu chako ili wakati tunasherehekea waandishi mwaka 2023. Na wewe uwe kwenye hiyo orodha.

Ndiyo maana nataka na wewe ujinyakulie ofa ya kitabu cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU. Gharama ya kitabu hiki ni 5,000/- ila kwa leo tarehe 1 na kesho tarehe 2, utakipiata kwa 4,000/.

Lengo langu nataka mwakani, wewe uwe miongoni mwa waandishi tutakaosherehekea sikukuu yao.

Tuma 4,000/- tu kwa 0755848391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA ili niweze kukutumia kitabu hiki. Usichelewe maana muda wa ofa ni mchache sana, na ofa hii haitajirudia tena.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X