Usikubali ufe na ndoto yako ya kuwa Mwandishi mkubwa.


Wakati wa maonesho ya nanenane Kuna watu wengi walikuwa wanapita eneo la vitabu kwa nguvu zao zote. Wengine walikuwa wanasimama kidogo na kuangalia kinachoendelea Kisha kuendelea na safari

Siku ya tarehe 3.Agosti alitokea mama mmoja ambaye alisimama kwenye banda letu kwa muda. Nilimkaribisha na kadiri nilivyokuwa nazidi kuongea naye alionekana kuwa anapenda nilivyokuwa naongea ila hakuwa tayari kununua kitabu chochote…

Baada ya kuongea naye kwa muda, nilikuja kugundua huyu mama alikuwa anapenda kuandika kitabu…


Na muda wote huo alikuwa akinisikiliza kwa sababu tu ya Ile raha ya kukutana na mwandishi wa vitabu….

Baada ya kuongea kwa muda nilimshauri asome kitabu changu cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU. Palepale nikamtumia kitabu kwenye WhatsApp yake.
Tukaagana, akawa ameondoka…

Siku nne mbeleni alinitumia ujumbe huu hapa👇🏿👇🏿

Kaka Tyk, Unaendeleaje ? na maonyesho? Me namshukuru Mungu nimesoma kile kitabu sijamaliza, ila nimeshaanza kuandika kitabu. Na pia nimepata title nyingi za vitabu vitavuofuata.
Tumpe Mungu utukufu

Huu ndio ulikuwa ujumbe wake rafiki yangu. Tumpe Mungu utukufu au unasemaje?

Najua na wewe unatamami kuwa Kama huyu. Hicho kitabu cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU kinapatikana kwa elfu tano tu (5,000/-) tu.

Unalipia kwa namba hii ya 0755848391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA

Ukishalipia unanitumia ujumbe kwa WhatsApp, halafu Mimi nakutumia kitabu. Ni rahisi sana rafiki yangu.

Usikubali ufe na ndoto yako ya kuwa Mwandishi mkubwa.

Godius Rweyongeza (SONGAMBELE)


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X