Maoni Ya Watu KuhusuVitabu Vya Godius Rweyongeza


Leo nimekuandalia baadhi ya maoni na shuhuda za watu waliosoma vyangu.

Huyu wa kwanza alichukua kitabu Cha MAISHA NI FURSA wakati wa nanenane. Na haya ndiyo anasema kuhusu hiki kitabu

Huyu mwingine wakati naongea naye aliniambia anataka kuwa Mwandishi. Nikamtumia kitabu kwa njia ya mtandao. Na Sasa amekisoma na kuanza kuandika.

Ndoto yake ya siku nyingi ya kuwa Mwandishi imeshaanza kutimia

Na huyu hapa Yuko Zanzibar

Na wewe ungependa kupata kitabu kipi kutoka kwetu?
Orodha kamili ya vitabu vyetu hii hapa


BONYEZA HAPA KUONA ORODHA YA VITABU VYETU VYOTE

Tuwasiliane kwa 0755848391

Godius Rweyongeza

Morogoro-Tz

Maoni mengine kuhusu kitabu CHA AKILI YA DIAMOND haya hapa


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X