Mtu pekee anayeweza kufanya ufeli kwenye maisha


Rafiki yangu, Kama Kuna MTU ambaye anaweza kukufabyavufeli kwenye maisha yako Basi Ni wewe mwenyewe.

Hakuna mtu mwingine wa nje ambaye anaweza kukufanya ufeli. Watu wa nje wanaweza kufunga njia ya wewe kupitia lakini hawawezi kukuzuia kutafuta njia nyingine.

Wanaweza kukusema vibaya lakini hawawezi kuzuia motisha yako na NGUVU yako ya ndani ya kufanya makubwa.

Rafiki yangu, mara zote na sehemu zote, pambania malengo yako makubwa.

Watu wa nje hawawezi kukuzuia wewe kuyafikia mafanikio unayotaka. Labda ukijizuia mwenyewe.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X