Vitu vizuri huchukua muda


Mfano hupandi mti wa mwembe leo naa kuvuna kesho. Hapana.
Unachukua muda.

Utamwagilia mbegu
Utapalilia kuondoa majani ili mhegu iweze kuendelea kukua.

Ila walau haitachukua siku moja wala siku mbili. Itachukua muda. Kwa miembe ya kisasa inachukua siyo chini ya miaka mitatu na nusu.

Kwa miembe ya kawaida inachukua miaka Saba na zaidi.

Inashangaza kuona watu wako tayari kuvumilia miaka saba kabla ya kuvuna maembe lakini hawako tayari kuvumilia miaka saba kabla ya kufikia ndoto au lengo kubwa walilojiwekea.

Watu wapo tayari kusoma shuleni kwa miaka 16-20 au zaidi kabla ya kuanza kufurahia matunda ya elimu. Lakini hawako tayari kuvumilia miaka saba mpaka kumi kabla biashara yao haijaleta matunda makubwa.

Hiki kitu kinapelekea watu kukimbilia fursa zisizokuwepo.
Leo hii wakiambiwa kuna fursa ya kuweka laki moja kesho kuvuna laki mbili wanaikimbilia.

Rafiki yangu nisikilize kwa kitu kimoja tu.
Kwa lengo lako au ndoto yako uliyonayo. Utaweza kuifikia iwapo tu utaifanyia kazi hatua kwa hatua.

Tumia nguvu ya vitu vidogo Kwenye kufanyia kazi ndoto zako.

Ndiyo maana nimekuandalia mwongozo wa kitabu hiki Cha kipekee.

NGUVU ya VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA.
Kitabu hiki Cha kipekee kinapatikana kwa 20,000/- tu.

Unatumiwa popote pale ulipo. Sasa cha kufanya leo hii unapaswa kufanya hivi
Wasiliana na 0755848391 ili uweze kupata kitabu chako. Utatumiwa popote pale ulipo


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X