Fanya vitu vichache kwanza


Kuku anapoatamia mayai anasahau mpaka kula ili tu hakikishe lengo lake la kuatamia na kupata vifaranga linatimia.

Wewe pia kuna vitu unapaswa kuachana navyo sasa hivi li uweze kufika kule unapotaka kwenda

Siyo lazima ukimbizane na kila kitu sasa hivi.

Fanya vitu vichache ambavyo vitekupelekea kwenye lengo na ndoto yako badala ya kukimbizana na kila kitu.

Kila la kheri


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X