Deprecated: Constant FILTER_SANITIZE_STRING is deprecated in /home/songambele/public_html/wp-content/plugins/blogger-to-wordpress-redirection old/b2w-redirection.php on line 91
Vitu Vinne Ambavyo Hakuna Mtu Anaweza Kufanya Kwa Niaba Yako - SONGA MBELE

Vitu Vinne Ambavyo Hakuna Mtu Anaweza Kufanya Kwa Niaba Yako


Kwanza hakuna mtu ambaye anaweza kupenda familia yako kwa ajili yako. Ni jukumu lako kuhakikisha unaijali na kuipenda familia yako.

Pili hakuna mtu mtu anaweza kutunza afya yako kwa ajili yako, jukumu la kutunza afya yako ni la kwako.

Tatu ni juu yako kuhakikisha kuwa unatunza fedha zako vizuri. Hakuna mtu ambaye anaweza kufanya hili kwa niaba yako.

Nne, ni kuongeza maarifa. hakuna mtu anaweza kusoma na kujifunza kwa niaba yako. Ni wewe ambaye unapaswa kufanya hivyo.

soma zaidi: Hii ni kazi anbayo huwezi kuajiri mtu kuifanya kwa niaba yako


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X