Mwongozo Unapouhitaji Kufikia Ndoto Zako


Jana nilikuwa naongea na rafiki yangu ambaye amechukua vitabu vya JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO pamoja na NGUVU YA VITU VODOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA

Inaonekana rafiki yangu kaelewa vizuri sana dhana ya hivi kitabu. Anasema hivi,

Unahitaji kuwa na ndoto KUBWA. Ila haitoshi. Ili uifanikishe hapo ndipo utapaswa kutumia nguvu ya vitu VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA.

Yaani, ni sawa na kuwa na ugali mezani. Haumezi wote kwa wakati mmoja, Bali unameza tonge moja baada ya jingine.

Mwisho wa siku unamaliza ugali wako.

Na ndoto yako hivyohivyo. Hauifanyii kazi kwa wakati mmoja na kuifanikisha bali unaifanyia kazi hatua kwa hatua kwa kutumia nguvu ya vitu VIDOGO huku ukiyaelekea mafanikio makubwa.

Huyu Ni msomaji ambaye amevielewa vizuri hivi vitabu na kutoa maoni yake kuhusu hivi vitabu.

Hivi kwa mfano, wewe unaanzaje kukosa kupata nakala yako leo? Unaanzaje eti!

Gharama ya kila kitabu ni 20,000/- (Hardcopy).
Unatumiwa popote pale ulipo.
Ebu tuwasiliane Sasa kwa 0755848391

Au bonyeza hapa chini
https://wa.me/message/3PMZSAFONLHAP1


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X