Vitu vinazaliwa, vitu vinakua na hatimaye kuzeeka


Ni kanuni ya maisha kuwa vitu lazima vinazaliwa, vitu vinakua na hatimaye kuzeeka. Hakuna kitu ambacho kinapaswa kubaki hivyo hivyo, kila kitu kinapaswa kuwa kwenye mwendo muda wote na sehemu zote. kumbe, kuna wakati unaweza kutakiwa kuwa sehemu fulani, ambayo ni sehemu ya chini kwenye mchakato wako wa kupanda, sehemu mbayo pengine wewe kwa upande wako huipendi, ila haipaswi kuwa hivyo, ikiwezekana unapaswa kuipenda kwa sababu, kila kitu kina wakati wake.

Kama huu ni muda ambao unapaswa kuwa kwenye ngazi fulani, basi kazi kama mtu ambaye yuko kwenyehiyo ngazi, ifanye kazi ukiwa kwenye hiyo ngazi kwa weredi na uaminifu wa hali ya juu. Baadaye kadiri muda unavyoenda utakua na kupanda juu zaidi. hii ni kanuni ya asili.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X