Tumebaki Na Siku 3 Tu Za Kupata Kitabu Cha Jinsi Ya Kufikia Ndoto Zako Kwa Bei Ya Oda


[wpcdt-countdown id=”5798″]

Hello, habari ya leo. Bila sahaka unaendelea vyema.

Kwa siku sasa nimekuwa nikikwambia kuhusiana na kitabu cha jinsi ya kufikia ndoto na jinsi ambavyo unaweza kupata nakala yako. Kitabu hiki kinazinduliwa tarehe 20 Mei, hata hivyo, oda zimeshaanza kuwekwa.

Nikieleza Jambo kuhusu kitabu

Na ubora ni kuwa nakala za kitabu zimetoka mapema. Hivyo, nimeona badala ya kusubiri mpaka tarehe 20 Mei ndio nitume vitabu. NI bora nianze kutuma nakala sasa hivi, maadam zipo. Kwa hiyo, kila aliyeweka oda ya kitabu na kulipia. Tayari ametumiwa kitabu chake au la anatumiwa leo na wengine vitabu vyao vipo njiani.

Sasa leo wakati naagalia kwenye tarehe hapa, nikaona kwamba, zimebaki siku chache tu kabla ya tarehe ya mwisho ya wewe kupata kitabu hiki kwa bei ya oda.

IPO HIVI, kitabu hiki gharama yake ni 20,000/- ila ukiweka oda siku ya leo unaenda kupata kitabu hiki kwa gharama ya 15,000/- tu.

Sasa kilichobaki rafiki yangu ni wewe kuchangamka ili uweze kupata kitabu hiki.

Cha kufanya sasa hivi, weka oda yako kwa kutuma ujumbe kwenda namba 0755848391

Tuma ujumbe wenye jina lako

Namba yako na mahali ulipo.

Mfano: Godius Rweyongeza 0755848391 (Morogoro mjini-Morogoro)

Ukishatuma huo ujumbe utapewa maelekezo ya kulipia, ili uweze kupata nakala yako mapema.

Karibu sana rafiki yangu, tuko pamoja.

Audiobook ya kitabu pia ipo


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X