Leo ndiyo siku ya mwisho ya kupata kitabu cha jinsi ya kufikia ndoto zako kwa bei ya ODA


Habari ya upande wa huko rafiki yangu. bila shaka unaendelea vyema kabisa. Nimekuwa nikikutaarifu kuwa leo ni siku ya uzinduzi wa kitabu cha jinsi ya kufikia ndoto zako. kitabu hiki cha kipekee kimeeleza kwa kina, jinsi gani unaweza kugundua ndoto zako na kuzifanyia kazi mpaka zikatimia.

Hivi umeshajiuliza swali ee! Kwa nini natumia neno ndoto zako? Ukweli ni kwamba hauwezi kuwa na ndoto moja tu. ni lazima utakuwa nazo nyingi, kwenye kitabu nimeeleza kwamba ni haki yako kuwa na ndoto nyingi, lakini sasa linapokuja suala zima la kuzifanyia kazi ndio unapaswa kuzifanyia kazi moja baada ya nyingine.

Kitabu hiki cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO, kinazinduliwa rasmi leo kwenye kundi maalumu la kuweka oda. Kama wewe hauko kwenye hili kundi unapaswa kufanya hivi. Weka oda yako hapa. Baada ya kuweka oda utatumiwa kiunzi maalumu cha kuingia kwenye kundi la kuweka oda.

Gharama ya kitabu hiki ni 20,000/- ila ukilipia leo nakala yako utaipata kwa 15,000’- tu. leo ni siku ya mwisho ya kupata nakalayako kwa bei ya oda.

Rafiki yangu kiukweli nisingependa wewe ukose nakala hii ya kipekee kwenye maktaba yako. Kitu kikubwa cha kufanya sasa hivi. ni kuweka oda yako kupitia kiunzi hiki hapa. Baada ya hapo utapewa utaratibu wakulipia na nakala yako, itatumwa bila kuchelewa.

Rafiki yangu karibu sana uweze kujipatia nakala ya kitabu hiki cha kipekee sana.

Umekuwa nami,

Godius Rweyongeza

0755848391

Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X