Deprecated: Constant FILTER_SANITIZE_STRING is deprecated in /home/songambele/public_html/wp-content/plugins/blogger-to-wordpress-redirection old/b2w-redirection.php on line 91
Leo ikiwa Ni siku ya Idd napenda kutoa ofa kwa mtu mmoja tu ambaye atajiunga na kozi yangu ya UANDISHI - SONGA MBELE

Leo ikiwa Ni siku ya Idd napenda kutoa ofa kwa mtu mmoja tu ambaye atajiunga na kozi yangu ya UANDISHI


Eid Mubarak Kwako rafiki yangu

Kozi ya kipekee ambayo inadumu kwa siku 30 Ina Mambo mengi ndani yake.

Kwa kawaidaa gharama ya kozi hii huwa ni laki mbili (200,000). Ila kwa ofa ya leo. Mtu mmoja tu ambaye atalipia 120,000/- nitamuunganisha kwenye hii kozi.

Ukiwa ndani ya hii kozi utapata

  • Utajifunza mbinu za kitabu chako kuanzia mwanzo mpaka mwisho
  • Nitakusimamia na kusoma kazi zako unazoandika kila siku na kukupa mrejesho wa kuziboresha
  • Nitakufungulia blogu ya bure.
  • Utajifunza mengi kutokana na yale wanayoandika wenzako na maoni nitakayokuwa natoa kuhusu kazi za wenzako.
  • Utapata kitabu Cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU NDANI YA SIKU 30 bure.
  • Utapata jarida lenye hatua 15 za kufuata ili kuandika magazetini.
  • Utapata mafunzo ya audio zaidi ya 10. Yakiwemo mahojiano na waandishi wakubwa hapa nchini.

Uko tayari?

Basi wasiliana nami kwa 0755847391 Sasa hivi

First come. First Served

NB: hii ni nafasi ya kipekee ya kufundishwa uandishi, na kutimiza ndoto yako ya siku nyingi ya kuwa mwandishi.

Wahi sasa hivi Tena bora ubonyeze HAPA TU KUWAHI KIKASHANI


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X