Baadaye siku ya leo, nitakuwa CLOUDS FM nikiongelea Gharama za Kulipa ili kufikia ndoto zako


Helo upande wa huko. Godius Rweyongeza hapa na leo nina taarifa fupi tu kwako.

Taarifa hii ni kwamba baadaye siku ya leo nitakuwa CLOUDS FM, Kwenye kipindi Cha TEMINO.
Mada nitakayozungumzia Ni GHARAMA ZA KULIPA ILI KUFIKIA NDOTO ZAKO

Kipindi hiki kinaendeshwa na Harris KAPIGA pamoja na adv. Henry Mwinuka.

Muda wa kipindi ni saa 9 mchana hadi saa 11 jioni.

Hakikisha unafuatilia hiki kipindi. Kuna mengi ya kujifunza siku ya leo.

Moja ya kitu ambacho nimejitoa kuhakikisha nakifanya kwa weredi ni kuambatana na watu wenye ndoto kubwa. Sipendi kabisa watu wenye ndoto ndogo. Na ndio maana nimeandika kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO kwa ajili watu wenye ndoto kubwa tu. Upo tayari kuzifikia ndoto zako kubwa kwa viwango vikubwa? Basi hakikisha unapata nakala ya kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO.

Gharama ya nakala moja Ni 20,000/-. Tuwasiliane sasa kwa 0755848391 ili uweze kupata nakala yako leo.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X