Tuna saa 24 tu kwa siku


Kila siku tuna saa 24 tu. Hakuna siku ambayo utakuwa na saa zaidi ya hizo, hivyo, unatakiwa kuutumia vizuri muda wako.

Watu waliofanya makubwa, na watu wanaofanya vitu vya kawaida wote Wana saa 24.

Sasa kwa Nini wewe usitumie muda wako vizuri?


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X