Chagua kitu kimoja, Kisha hakikisha kwamba unakijua kitu hicho nje ndani
Kama ni biashara basi amua kuijua nje ndani.
Kama ni kipaji chako basi zama na ubobee kwelikweli.
Kama ni njia ya mkato, basi hii ndio njia pekee ya mkato unavyoweza kutumia kufikia kule unapotaka.
Ukiwa mtu wa kugusa vitu kwa juu juu. Hutakaa ubobee na mara zote utakuwa unaona kama unachelewa kufanikiwa.
Kumbe tatizo ni lako.
Jipe miaka mitano mpaka kumi ya kuzama kwenye kufanya kitu ulichochagua bila kuacha.
Kama umenielewa, jiunge na mfumo wetu wa kupokea mafunzo kwa barua pepe. Jiunge hapa chini
4 responses to “Njia Rasmi Ya Mkato Itakayokupa Mafanikio Makubwa”
Nice for the future projection
Karibu sana. Tuko pamoja
I appreciate you devoted time in coaching and providing valuable hints to the society.
I need more from this forum.
I am getting a new thing and courage every time I read your articles.
Thank you so much.
Karibu sana. Tuko pamoja ndugu yangu