MAISHA NI KAMA KUENDESHA BAISKELI..


Leo nimeukumbuka usemi wa Albert Einstein. Anasema maisha Ni Kama kuendesha baiskeli, ili usianguke unapaswa kuendelea kunyonga.

Ukiacha tu, unaanguka

Hivi ndivyo ilivyo hata kwenye maisha ya kutafuta…

Ili uendelee kusongambele haupaswi kuacha kuweka juhudi, haupaswi kuacha kupiga kazi kwa bidii, kujituma, kufanyia kazi malengo yako kila siku.

Hivi ndivyo maisha yalivyo.

Ukikata tamaa, Basi…hutoboi..

Kama umependa Makala hii, utapenda Makala zaidi nikazotuma kwa njia ya barua pepe… Jaza taarifa zako zote hapa chini


2 responses to “MAISHA NI KAMA KUENDESHA BAISKELI..”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X