Maisha Ni Fursa: Zitumie ZIKUBEBE


Unaendeleaje rafiki yangu wa ukweli. Jana nilikutana na kichekesho fulani hivi mtandaoni. Jamaa mmoja alikuwa akizungumzia kuhusu mfumuko wa bei unayoendelea Sasa hivi.

Hivyo akawa amesema maneno haya:

Jamani jamani, mtuonee huruma mnapandisha vitu mno. Mafuta mnapandisha, gesi mmepandisha, uchumi mmepandisha, mtapandisha hadi mapepo……..

Baada ya kuangalia hiki kichekesho, nilijiuliza hivi Kuna fursa yotote kwenye mfumuko huu wa bei. Kuna fursa yotote hapa?

Nikakumbuka kitabu changu cha MAISHA NI FURSA: ZITUMIE ZIKUBEBE nilichoandika miezi kadhaa nyuma.

Nikaona kweli hapa Kuna fursa…Na hiki kitu ndiyo kimenifanya nikutumie ujumbe sasa hivi …….Nataka nikwambie kwamba MAISHA NI FURSA, ZITUMIE ZIKUBEBE. Na kwa sababu hiyo nataka nikupe ofa ya kupata kitabu hiki.

Kwa kawaida kitabu hiki kinauzwa kwa gharama ya 10,000 (ebook).Sasa wewe utalipia 8,000 tu. Lakini siyo tu kwamba utapata ebook ya kitabu hiki peke take.Bali pia nitakutumia na ebook ya AKILI YA DIAMOND: E-BOOK hii imezungumzia MAMBO 50 YA KUJIFUNZA KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ KUHUSU KIPAJI, UBUNIFU na MAFANIKIO.

Kina Mambo 50 tu, ila ni Mambo konki!

Kwa hiyo kwa elfu 8 unaenda kupata ebook hizi mbili za kipekee

MAISHA NI FURSA ZITUMIE ZIKUBEBE pamoja na

AKILI YA DIAMOND: Mambo 50 Ya kujifunza kutoka kwa Diamond Platnumz kuhusu Kipaji Ubunifu na Mafanikio.

Amua sasa kupata ebook hizi mbili za kipekee kwa bei ya ofa ambayo haitajirudia tena. Utatuma fedha kwa 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA, halafu utanitaarifu kwa namba hiyohiyo.


2 responses to “Maisha Ni Fursa: Zitumie ZIKUBEBE”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X