Hiki Ni kitu muhimu ambacho unapaswa kukitafuta kwenye kila kitabu


Rafiki yangu usomaji wa vitabu ni kitu muhimu sana kwa ajili ya afya ya akili yako.

Ukitaka kufurahia usomaji wa vitabu basi kwenye kila kitabu ambacho unasoma hakikisha unapata unapata vitu vitatu ambavyo unaweza kufanyia kazi Mara moja.

Ukipata vitu hivi mwanzoni mwa kitabu, unaweza kuweka kitabu pembeni kwanza na kufanyia kazi kile ulichojifunza utakuja kuendelea nacho siku nyingine.

Kwa hiyo rafiki yangu. Kama kwenye kila kitabu chako. Unachosoma tafadhali sana tafuta vitu vitatu vya kufanyia kazi Mara moja.

Godius Rweyongeza
0755848391
Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X