Email List Ni Nini?


Ila swali lilikuwa email list nini? Kujibu Hilo swali naomba usome hapa chini

Email list ni mfumo wa kukusanya mawasiliano ya watu wanaofuatilia kazi zako. Ambapo kila anayesoma na kupenda Makala zako, anaweza kukuachia email take na wewe ukaendelea kuwasiliana naye kwa kumtumia Makala zaidi kwenye email yake moja kwa moja.

Kuna sababu nyingi kwa Nini unapaswa kuwa na email list Ila hapa sitazitaja zote

  1. Siyo kila mtu anayetembelea blog yako leo, ataendelea kuitembelea kila siku. Baadhi ya watu watakuja kwenye blogu yako kwa shida maalumu, wakishasoma kitu chako, wataondoka na kukusahau. Ila endapo huhu mtu atakuwa amekuachia email yake. Ni rahisi kwako kuwasiliana naye kwa baadaye kwa njia ya baruapepe na kumfanya aendelee kufuatilia kazi zako zaidi.
  2. Lakini pia email list inakusaidia kuanza kutengeneza jumuiya ya watu wanaokuamini zaidi, ili ikifikia hatua ambapo wewe utakuwa na bidhaa, hawa watu ndio watakuwa wa kwanza kununua kwako


One response to “Email List Ni Nini?”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X