Day: April 26, 2022

  • MAISHA NI KAMA KUENDESHA BAISKELI..

    Leo nimeukumbuka usemi wa Albert Einstein. Anasema maisha Ni Kama kuendesha baiskeli, ili usianguke unapaswa kuendelea kunyonga. Ukiacha tu, unaanguka Hivi ndivyo ilivyo hata kwenye maisha ya kutafuta… Ili uendelee kusongambele haupaswi kuacha kuweka juhudi, haupaswi kuacha kupiga kazi kwa bidii, kujituma, kufanyia kazi malengo yako kila siku. Hivi ndivyo maisha yalivyo. Ukikata tamaa, Basi…hutoboi..…

  • Jinsi Mafanikio Makubwa Yanavyojengwa

    Picha hapo chini ni picha ya jengo la Taj Mahal. Jengo hili lipo kwenye Maajabu Saba ya dunia.Hili jengo lilichukua miaka 22 kujengwa Mpaka kukamilika. Hiki kitu kikupe picha ya kuwa vitu vizuri kwenye maisha huwa haviji kirahisj. Najua unapenda sana kupata vitu vizuri, lakini vitu vizuri huwa haviji kirahisi. Ni mchakato. Ndio maana wahenga…

X