Day: April 19, 2022

  • UAMINIFU NI MTAJI

    Mwaka 2018, nilisafiri kwenda Arusha na baadaye nikaenda Bukoba kwa wazee kusalimia. Ilikuwa ni safari ya zaidi ya mwezi… Nikiwa Arusha kuna jamaa alinitafuta. Alikuwa mshikaji ninayemfahamu. Au basi niseme tulikuwa tunasoma wote pale SUA. Aliniambia anataka nimkope fedha kama laki tano hivi, na angenirudishia hiyo fedha ndani ya wiki…Kuna fedha alikuwa anaisikilizia…. Nilimwambia wiki…

  • Anza wewe kubadilika.

    Unazikumbuka kampeni za mwaka 2015!!! Unazikumbuka? Ni miongoni mwa kampeni zilizokuwa motomoto. Kila mgombea alikuwa na hoja zake kubwa ambazo alikuwa akitoa kwa wapiga kura ili waweze kumchagua. Kitu kikubwa kwenye kampeni hizi yakikuwa mabadiliko. Kila mgombea alikuwa akiongelea namna ambavyo ataleta mabadiliko endapo atapewa madaraka.Magufuri alikuwa anasema Tanzania ya viwanda.Lowassa alikuwa anasema Movement For…

X