Day: April 11, 2022

  • Malengo Yako Yawe Na Ukomo

    Rafiki yangu, moja ya kosa ambalo watu wanafanya kwenye kuweka malengo ni kuyanyima ukomo wa muda. Wanaaweka kama vile wataishi milele na milele. Unapoweka malengo  yako hakikisha kwamba unayapa ukomo wa muda. Yaani kunakuwa na tarehe ya mwisho ya kuyafikia malengo haya. Na hili linapaswa kujionesha kwenye malengo yako unayoyaweka. Kwa mfano unaweza kuandika hivi,…

  • Sababu 10 kwa nini unapaswa kuanzia chini

    Habari ya leo rafiki yangu mpendwa. Siku ya leo tarehe 11 wakati nafikiria cha kuandika, nimekumbuka nukuu ya John D. Rockefeller. Kama ulikuwa hujui John D. Rockefeller alikuwa ni bilionea wa kwanza nchini marekani kufikia kiwango kikubwa. Kwa Afrika Mansa Munsa ndiye baba lao na utajiri wake haujafikiwa na yeyote mpaka leo duniani kote. Basi…

  • Ni ushauri tu-2

    Ule muda unaoutumia kufuatilia maisha ya watu wengine, utumie kufuatilia maisha yako. Jua nini unataka kufanya na kitu gani hutaki kufanya kwenye maiaha yako.. Jifuatilie uone kama bado unafanyia kazi malengo yako au la umeshaachana nayo. Ni ushauri tu.

X